Recent content by edward solomon

  1. E

    Waziri Mwakyembe aunda Bodi Mpya ya Bandari; avunja bodi ya zamani

    ...... huwezi amini, hata kama DR. MWAKYEMBE kaishikisha adabu miche ya michicha, lakini mibuyu inasubiri kimbunga kitakayoisukuma ili iiminye haka kajimbegu ka ulezi DR. MWAKYEMBE kasiote tena. Bodi ya TPA iliyovunjwa iliwekwa na MAFISADI wa nchi hii. Na baadhi ya fedha ndiyo waliyoitumia...
  2. E

    Lowassa kachezeshewa "chekundu cheusi"?

    Hili lililomkuta EDWARD LUWASA linatudhihirishia kuwa kweli siasa ni mchezo mchafu. Kila mtu atasema analojua lakini ukweli utabakia palepale, tunauzwa tuko hai lakini muda si mrefu yatauzwa hadi maiti na makaburi ya ndugu zetu.
  3. E

    Mnaotoka nje ya ndoa zenu..oneni unyama huu

    .... mtu mwerevu ni yule ambaye ameona msiba na kujificha, lakini wasio na uzoefu wameendelea mbele nao lazima waumie' [Meth. 22;3] Hili ni fundisho kwetu sisi sote wanandoa. pole sana.
Back
Top Bottom