Recent content by Edu_Thinker

  1. E

    Ni mtu gani unayemjua aliwahi tajirika kutokana na Foreverliving au kupata safari wamazosemaga Korea na Singapore? Ushuhuda Plz

    Ninaowajua walikuwa wanafunzi wenzangu wa chuo walikopa pesa wakawekeza huko. Walipata hasara ya ajabu hakuna return walizolipwa na products haziuziki kutokana na kuwa bei kubwa sana zisizo na tija
  2. E

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nipo arusha kimandolu tindigani. Kila ikifika jioni mida ya kwanzia saa mbili hivi umeme huwa unakatakata. Na tatizo hili limeanza tokea nifungiwe luku mwaka huu. Kabla ya hapo hakukuwa na hii hali. Tatizo ni nini?
  3. E

    Bombardier zaingiza zaidi ya Tsh 4.500,000,000 (bilioni 4.5) kwa Mwezi kwa mwaka ulioishia 2017: Dreamliner kuongeza mapato maradufu.

    Watupatie Audited financial statements, tutazisoma wenyewe na kuzielewa[emoji4]
Back
Top Bottom