Habarini wanajamiiforums,Nilikuwa ninashida moja nilikuwa nimetengeneza server kwa kutumia virtualbox server yenyewe ni ya Ubuntu servers,
sasa shida ni kwamba IP niliyoweka kama IP ambayo watu wa nje waweze kuaccess ile server ni 192.168.43.1 lakini mtu wa nje akiaccess haiwezi fungus, lakini...
Kwani vyeti ndo vinafanya kazi?.au knowledge uliyonayo? Cha msingi uwe na uelewa na ulichokisoma na uweze kurelate na maisha yanayokuzunguka hapo utawin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.