Recent content by edimkali

  1. edimkali

    faida na hasara computer za apples

    ahsante sana ,na vipi kuhusu version?nikichukua ya 2019 haitanisumbua?
  2. edimkali

    faida na hasara computer za apples

    naomba kujua faida na hasara computer za apples
  3. edimkali

    Faida na hasara ya computer za Apple

    Wadau nimetumia computers zinazotumia window, sasa nimechoka mambo ya kuinstall window na matatizo kibao, sasa nataka kuhamia computer za Mack. Sasa naomba kujua faida zake na hasara zake.
  4. edimkali

    Msaada wa kujua wanapouza laptop Hp battery

    Wakuu nimeongezea picha
  5. edimkali

    Msaada wa kujua wanapouza laptop Hp battery

    Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema,ninamiliki komputer aina ya HP .tatizo nililopata ni aina ya komputer yangu ambayo battery lake lipo ndani ya komputa ,yaani kulitoa mpaka ufungue nati. So nilivyopata shida ya battery na kulibadilisha battery jipya lilikaa miezi 6 tu then likaanza...
  6. edimkali

    Kamwe usije ukajiroga kumwambia mkeo au mpenzi wako wa kike kipato chako

    Mbona wazungu wanaambiana? Harafu bahati mbaya ukifa je? NA huku unamiradi kibao
  7. edimkali

    Wazungu na waafrika ni viumbe hai tofauti kabisa wenye DNA zisizofanana

    Mwafrika hana akili ya utambuzi,chukulia wale black Americans pamoja NA kwamba wana elimu nzuri, mazingira nk lkn wamegundua nn mpaka sasa? Wao kazi wanayojua ni gangs,madawa ya kulevya,kutopenda kusoma na kupenda kulalamika tu, Wao wenyewe hata kwa dawa hawapotayali kuludi afrika pamoja huku...
  8. edimkali

    Wazungu na waafrika ni viumbe hai tofauti kabisa wenye DNA zisizofanana

    NGOJA NIWAPE SIRI MOJA JUU YA KUTOKUWEPO KWA MAENDELEO YA MTU MWEUSI Mwafrika ndiye binadamu pekee mwenye ngozi imala hapa duniani,sasa je ngozi ina mahusiano gani NA maendeleo? Kitendo cha mwafrika kuwa NA ngozi imala kumemfanya kuishi katika mazingira yeyote yale NA kuhishi katika hali yeyote...
  9. edimkali

    Wazungu na waafrika ni viumbe hai tofauti kabisa wenye DNA zisizofanana

    Hivi huyo mwafrika hana common sense mpaka asubilie kuelimishwa?
  10. edimkali

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Wakuu computer yangu inazima nikicheza hii game,harafu wakati wa kuiwasha inanipa message ambayo nimeambatanisha screen shot hapo ,lakini pia nimeambatanisha NA properties za computer,embu nisaidieni tatizo nn?
  11. edimkali

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Wakuu nikiplay hii game computer yangu inazima,
  12. edimkali

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Harafu KWENYE ile function key f5 inasaidia nini?maana nilivyopress f1 ikaja table ndogo hivi inavikorokoro,sasa nikapress f5 ,baada ya dk5 computer ikazima ,ilivyowaka ikaniambia kwamba BIOS inedetect kwamba nimerequest hybernet ili kuprevent overheating,so ikawa inajizima kila nikiiwasha mpaka...
Back
Top Bottom