Recent content by Eddy Elphazi

  1. E

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Gari gani ninunue kati ya haya...?

    What SUV would you advise me to buy between VW TIGUAN, BMW X3, AUDI Q3 and TOYOTA RAV4, please I'd appreciate reasoning for every choice starting with price, engine size, fuel type etc, or if possible provide comparison of the 4 please? "Majibu hata kww kiswahili tafadhari"
  2. E

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Bar

    Habari wana JF. Nimekuwa nikifanya biashara ya grocery kwa mda sasa sema changamoto kubwa ninayokumbana nayo ni wingi wa madeni(nadai wateja), sasa nikawa nafikiria pengine nikihama eneo na kujipanua nikaanzisha Bar ya kawaida maybe ntakuwa nimesolve hii ishu ya kukopwa sana. Kama kuna mtu ana...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu biashara ya grocery

    Yeah uko sahihi ni ngumu haswaa
  4. E

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu biashara ya grocery

    Asante sana kwa ushauri so mwenyewe ulifanya biashara kama hii?
  5. E

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu biashara ya grocery

    Habarini za wakati huu wana JF Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu nina miaka takriban mitatu mtaani sjabahatika kupata ajira so nikawa najichanga changa kwenye mambo yangu nikapata kama 2.2 M nikafungua kigrocery mtaani sasa kinachonisibu asee yan nakopwa so mchezo hadi msingi umepungua sana. Of...
  6. E

    JamiiForums Tanzania Namna ya kupata fridge za TBL

    Kama kuna mtu anajua procedures za kufuata ili kupewa fridge za bia kama Safari n.k na TBL naomba anijuze tafadhari?
  7. E

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kufahamu bei za kreti za bia tofauti tofauti kutoka kwa wauzaji wa jumla

    Naomba kufahamu bei za kreti za bia tofauti tofauti kutoka kwa wauzaji wa jumla. Nitashukuru.
  8. E

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Kuanza na Kreti Ngapi za Bia?

    Naomba kufaham bei za kreti za bia tofauti tofauti kutoka kwa wauzaji wa jumla.ntashukuru
  9. E

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Kuanza na Kreti Ngapi za Bia?

    Naomba kufaham bei za kreti za bia tofauti tofauti kutoka kwa wauzaji wa jumla.ntashukuru
  10. E

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kufika Jangwani Sea Breeze

    ni bure kiingilio?samahn
Back
Top Bottom