Mbona umekomaa kunicriticise kana kwamba unamzimia sana huyu jamaa...! Kwa hiyo wewe unapomwita firauni ndo uko polite?....... I told u let's tolerate each other this is hard times.......!!
Inaniuma sana kuona pesa za walipa kodi wanyonge zinatumika kwa maslahi ya watu binafsi . Hebu fikiria hii KATIBA imechakachuliwa, shule hazina madawati na vifaa vya kufundishia,hospitali hazina wataalam wa kutosha pamoja na vifaa hasa vijijini, wafanyakazi wanalia kila kukicha mishahara...
Anasema Prof. Tibaijuka atatupisha....ila Prof. Mhongo tutamweka kiporo.......nilitamani kuipasua TV Screen....!!
HAYATI BABA WA TAIFA Mwl. NYERERE POPOTE ULIPO HAYA NDO MAISHA TULIYONAYO WANAO.
Eti bodi ya TANESCO ilikuwa imemaliza muda wake, kwa hiyo ni kama imejifuta yenyewe. Kwa hiyo hafikirii tena hasara kubwa walioiingizia Taifa......duzu huyu mtu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.