Recent content by Eddo mkweli

  1. E

    Huenda TANAPA & NCAA zikazikwa kama Viwanda vilivyozikwa Tanganyika

    Ni wakati sasa tuwe wakweli , rasilimali za Taifa letu zipo kwa ajili ya Taifa zima bila kujali wapi rasilimali hizo zipo. Ndio maana gesi ya Mtwara inatumika nchi nzima. Vivyo hivyo kwa Ngorongoro , mapato yanaenda Hazina kwa ajili ya Taifa zima lakini na wao wakipewa zaidi ya mabilioni kila mwezi
  2. E

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    Ha ha ha Sent using Jamii Forums mobile app
  3. E

    Mkakati wa Zambi na Mulugo kupinga mabadiliko ya Katiba ya CCM (mtu mmoja, cheo kimoja) wafichuka

    hao wote vilaza hakuna jipya hawana mchango wowote ndani ya ccm ZAMBI hadi leo akipanda jukwaani anasema habari za mwaka 1961 yaani hajielewi MARRY MWANJELWA kawapa hela watu kazi yao kumsifia tu hana lolote MLUGO nae ni BASHITE anatumia jina la mtu hao ndio wanafanya siasa ya mbeya hasa upande...
  4. E

    Picha: Mafuriko ya Mbeya "Sugu" Mkutanoni Leo hii

    Picha za kupiga upande mmoja hazipo tena wananchi wanataka maendeleo,tena hapo watu walikuja kwenye fainali ya mpira walikuwa wanaona anawachelesha maana nimekaa mwanzo mwisho hakuna la maana aliloongea
  5. E

    Picha: Mafuriko ya Mbeya "Sugu" Mkutanoni Leo hii

    Sugu mbeya hana chake zile Kiki za kijinga mbeya hakuna tena wana mbeya wanataka maendeleo sio sifa za kijinga
  6. E

    David Kitundu Jairo atiwa mbaroni na TAKUKURU

    breaking news.usiku huu david kitundu jairo anashikiliwa na takukuru ofisi ya wilaya ya iramba kwa makosa ya kutoa rushwa. Ndg jairo ambaye ni mgombea ubunge anadaiwa kutoa 30,000 kwa viongozi wote wa kata 19 yaani watanowatano , ametoa 20,000 kwa viongozi watanowatano wa watawi 135 na anetoa...
  7. E

    David Kitundu Jairo atiwa mbaroni na TAKUKURU

    breaking news.usiku huu david kitundu jairo anashikiliwa na takukuru ofisi ya wilaya ya iramba kwa makosa ya kutoa rushwa. Ndg jairo ambaye ni mgombea ubunge anadaiwa kutoa 30,000 kwa viongozi wote wa kata 19 yaani watanowatano , ametoa 20,000 kwa viongozi watanowatano wa watawi 135 na anetoa...
  8. E

    David Kitundu Jairo atiwa mbaroni na TAKUKURU

    Wadau nilikuwa naendelea kufuatilia na sasa ni hivi .USIKU HUU DAVID KITUNDU JAIRO ANASHIKILIWA NA TAKUKURU OFISI YA WILAYA YA IRAMBA KWA MAKOSA YA KUTOA RUSHWA. NDG JAIRO AMBAYE NI MGOMBEA UBUNGE ANADAIWA KUTOA 30,000 KWA VIONGOZI WOTE WA KATA 19 YAANI WATANOWATANO , AMETOA 20,000 KWA VIONGOZI...
  9. E

    David Kitundu Jairo atiwa mbaroni na TAKUKURU

    Habari zilizotufikia hivi punde. Aliyekuwa katibu wa wizara ya nishati na madini na baadae kufukuzwa kwa tuhuma za Ufisadi na kuhalamisha mchakato wa upitishaji wa Bajeti ya wizara ya Nishati na Madini Ndugu David Kitundu Jairo anashikiliwa na TAKUKURU wilayani Iramba kwa tuhuma za kugawa Fedha...
  10. E

    Michael Joseph Mbuza, ajitokeza kuwania Ubunge wa Mbeya Mjini

    yule dogo anaweza tatizo ni chama chake watampiga chini watuletee mtu wa ajabu hapo ndipo sugu atachukua mapema sana,wamlete yule dogo ili waludishe imani ya chama maana ccm bila kuhonga ni tatizo,yule dogo anauzika vizuri sana
  11. E

    Waziri wa Kikwete aamua Kupasua jibu la muda mrefu nchini Tanzania, UKAWA wamuunga Mkono

    Hakika Taifa litajengwa na Vijana. Wewe ni presidential Material Mwigulu Nchemba! Wanyonge tunakuhitaji utipigAnie tusio na sauti.
  12. E

    Joseph Mbilinyi: Kikwete studio ulioitangazia dunia kuwapa wasanii iko wapi? Umemkabidhi nani?

    Sugu ni mbunge wa ajabu sana hataki kubadilika sasa mwaka huu ndio ataona moto wake,tumembeba ili abadilishe maisha harafu yeye analeta usela maana hakuna chochote watu wa mbeya kafanya zaidi ya kuzingua leo hii hatambui wasanii wakina g solo mkoloni dani msimamo ndio walimhangaikia hadi...
  13. E

    Mwigulu Nchemba achomoza urais 2015

    Naunga mkono asilimia Mia moja Mwigulu anastahili Kuwa rais wa watanzania ndiye mtetezi wetu sisi wanyonge
Back
Top Bottom