Mda wa miaka 2 alikuwa hajaenda kusalimia kwao sasa nilipoona maelewano hakuna ikabidi nimwambie aende akasalimie ndugu zake na niliwasiliana nao wakaniruhusu aende
Mimi nina mke tumeishi miaka 5 na tuna mtoto mmoja wa miaka 4. Nilikwenda shule kwa muda wa mwaka mmoja tu lakini nilivyorudi nikakuta kabadilika kitabia na kusikia maneno machafu mtaani.
Lakini kuuliza ili nijue chochote anakuwa mkali. Nikaamua kumrudisha kwao akapumzike kidogo. Huko kwao...
Jamani mahusiano ni kurekebishana tabia na kuvumiliana lakini sio kila kosa uhukumu, Bila hivyo wazazi wetu wasingetuleta Duniani. Chakufanya kaka mkanye kwa Mara ya kwanza na umshauri atakuelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.