Msaada: Nilikwenda shule kwa mwaka1 tu lakini nimerudi nikakuta kabadilika kitabia na kusikia maneno machafu mtaani

Hivi hii yakusema kuwa nimemrudisha kwao akapumzike hivi huwa inamaana gani?
Mda wa miaka 2 alikuwa hajaenda kusalimia kwao sasa nilipoona maelewano hakuna ikabidi nimwambie aende akasalimie ndugu zake na niliwasiliana nao wakaniruhusu aende
 
Sio mfuasi wa distance relationship kabisa

unaenda kusoma asee tunaenda wote kama hutaki hamna kwenda

mwaka mzima hujamtromba unategemea yeye kakaaa tu anakusubiria

kashakutana na wakunaji huyo wamemkuna kashanogewa

kitendo cha wewe kumwambia arudi kwao ndio ulipo BUGI MEEEN

HUKUTAKIWA umpe nafasi tena ya kutoka kama kweli unamuhitaji

yani umekaa mbali nae mwaka mzima,then unarudi hata mwezi hujamaliza

unampa likizo ya kwenda kwao aiseeee we mjamaa wewe (una nyota ya kugongewa)
 
Mimi nina mke tumeishi miaka 5 na tuna mtoto mmoja wa miaka 4. Nilienda shule kwa muda wa mwaka mmoja tu. Lakini nilivyorudi nikakuta kabadilika kitabia na kusikia maneno machafu mtaani. Lakini kuuliza ili nijue chochote anakuwa mkali. Nikaamua kumrudisha kwao akapumzike kidogo. Huko kwao katoroka kwenda jijini Mwanza. Je kwa imani yenu mtu kama huyu anaweza kubadilika?
Inategemea kwao ulimrudisha kifungo cha ndani au akaendelee na maisha yake. Au ilikuwa likizo? Pia kubadilika tabia ndio kufanya nini? Hiyo tabia mbadala ameendelea nayo ata baada ya wewe kurudi au alikuwa na hiyo tabia ata kabla hujaondoka? 'Abiria chunga mzigo wako' applies ata kwa ndoa bro.
Kama aliliwa potezea tu sababu hiyo kitu sio sabuni, hai ishi.
Unaweza rudisha kwao na ukaoa mwingini lakini ujue kwenye ndoa ni afadhali shetani unaye mfahamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom