Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,270
- 40,082
Ni kweli,binti alikuwa kimaslai na si kimapenzi,cha muhimu ni mtoa mada kujipanga watoto wazuri bado wapoUkiona mwanamke anakwambia tuwe wapenz ila tusifanye mapenz,..ujue huyo hajavutiwa nawew kabsaaaaa
Yaan anataka umtimizie mahitaj yake tuu financialy
Sjui wanaume tutaelimika lin,daah
Sent using Jamii Forums mobile app