Recent content by Eberm

  1. E

    Picha: Nawashukuru sana wanairamba kwa rekodi hii ya jana, Pole sana Dr. Slaa...

    Mimi napita ila nimemwelewa Mchemba
  2. E

    Mbowe alivyowapuuza Wananchi kwenye mikutano yake kanda ya ziwa

    Ukisema mbowe na silaha lazima uwasifie hata kama wamekosea na ndo utaitwa mzalendo
  3. E

    Sitta: Ageuka Jiwe (Amebadili kauli yake Wabunge viti maalumu)

    Mimi nashindwa kumuelewa sita ana matamko mengi lakini naona kama yana umbea mwingi
  4. E

    Mbatia 'aipa' CCM ushindi kuongoza Halmashauri ya Uvinza

    aisee hawa jamaa wa chadema huwa nacheka sana na kuwashangaa sana hivi karibuni Tundu Lisu alisema chama pinzani Tanzania ni cdm pekee vingine ni ccmb sasa imakuwaje wanapotaka vyeo wanaenda kwa hao hao ili wawaunge mkono? halafu kwa nini wasingegombea umakamo na nccr wagombee umwenyekiti kwa...
  5. E

    Chadema arusha:hatuna haja na umeya wa jiji la arusha

    sasa mbona madiwani mliowafukuza walisema kama golugwa kamba walichaguliwa na wananchi ili wawatumikie na siyo migomo wakafukuzwa iweje leo wanaongea yaleyale
  6. E

    Chadema arusha:hatuna haja na umeya wa jiji la arusha

    sasa nyie cdm wananchi wawaelewaje maana wakati wa campain mlisema mkiingia mnamng'oa meya wa kichina au mmegundua kanuni haziruhusu ndo mnakuja na maneno halafu golugwa angalia kama hujawasiliana na mbunge ndo utafukuzwa tena
  7. E

    Red Brigade: Kikundi cha mauaji, watekaji, wamwagia sumu na "nchi kutotawalika"

    hivi niwaulize kama watu wamesema wenyewe hawana imani na jeshi, police,usalama wa taifa na kwamba hiyo red bregade ndo itachukua majukumu hayo si ina maana kwamba watakuwa na siraha kama za police na jeshi ili ikitokea wameonewa waweze kujitetea ndo maana wenye akili wanasema ni kama cdm...
  8. E

    Red Brigade: Kikundi cha mauaji, watekaji, wamwagia sumu na "nchi kutotawalika"

    mimi nakuunga mkoni kamanda mwigulu kwani hawa cdm wanasema jeshi haliwalindi police na usalama wa taifa pia sasa wanalindwa na nani kama siyo kama wana jeshi lao
Back
Top Bottom