Wadau kwanza hodi hodi ndio mara ya kwanza..
Hili suala la ukitaka mlango wa duka unapewa bei kwa Dollar na unaambiwa mfano dollar 15 per square meter.
Jamani hili jambo litaisha lini? Kwanini isiwe Tshs? Sie pesa yetu ni tshs. Usd inapanda ina shuka hivyo landlord yeye hapotezi thamani ya...
Tupo Kariakoo Dar. 130 Uhuru St mkabala na Benjamin Mkapa School. Karibuni. Wasiliana nasi k2a namba zifuatazo 0719669494 au 0655038808 au sales@alfaqeeinvesment.com. angalia picha k2a maelezo zaidi. Karibuni.
Bro I hope sio tooo late. Sie ni wauzaji wakubwa wa vifaa vya gym na mazoezi. Na tuna patikana Uhuru St mkabala na Benjamin Mkapa School. Treadmiils zipo mpya na better quality than Mlimani. Sie tupo katika biashara hii for tha last 6 years na hatujawahi rudishiwa treadmill na customer. Angalia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.