Recent content by Eastcoast_business

  1. E

    Huu ni wakati sahihi wa kununua viwanja Dar na kukamata maeneo nje ya mji

    Location ya ardhi yako ikiwa sehemu nzuri then ndani ya miaka michache sana utaweza kuona faida kubwa kwa ardhi yako.
  2. E

    Huu ni wakati sahihi wa kununua viwanja Dar na kukamata maeneo nje ya mji

    Mkuu Pole mkuu ila kuna utaratibu ukiufata hutopoteza kiwanja hata mara moja but ukinunua kama nguo utapoteza mara nyingi
  3. E

    Huu ni wakati sahihi wa kununua viwanja Dar na kukamata maeneo nje ya mji

    Real estate (nyumba ya biashara ama viwanja ni sehemu salama zaidi ya Hifadhi pesa zako ukishapata faida kutoka kwenye biashara zako.
  4. E

    Mrejesho wa kujiunga UTT Amis na Changamoto za UTT AMIS mobile App

    Mkuu Ipo calculator yao Google single sum instalment kwa mfuko bond fund utapata kama 60ml kwa mwaka around 4.5ml minimum monthly
  5. E

    Mrejesho wa kujiunga UTT Amis na Changamoto za UTT AMIS mobile App

    Habari za muda huu wakuu, Baada ya kupitia discussion nyingi kuhusu UTT AMIS then nikaamua kujiunga na hii taasisi ya kwa nia ya kukuza/kuchanga mtaji kwani nimeona ni sehemu nzuri itakayoniwezesha kutunza walau kila pesa ndogo nayopata( kuanzia elfu kumi) Kwa muda wa miezi miwili sasa...
  6. E

    Nimepiga hesabu ningewekeza UTT ningekua niko vizuri

    Mkuu mtoa mada kasema ilikua 2017 so ni kama mwaka wa 7 now
  7. E

    Tuongee ukweli: Soko la pesa la Tanzania (UTT, Hisa N.k) haliwezi kukufanya ukawa tajiri kwa mtaji wako mdogo

    Mkuu shamba/viwanja kwa location nzuri inalipa return kubwa sana baada ya period of ten years. Sharti utengezeze title deed pasivamiwe, Then location iwe potential (jirani na mji mkubwa). ukilenga location nzuri kwa ukapata heka kwanzia heka 50 wewe ni Tajiri wa miaka 20 ijayo
  8. E

    Fursa ya ufugaji nguruwe

    Vipi mkuu bado wapo?
Back
Top Bottom