Recent content by east36

  1. east36

    JamiiForums Tanzania Majibu kwa Paschal Mayalla: Nani alitoa amri ya risasi au ni sheria ilijiandaa kulinda Jamhuri?

    Wanaotakiwa kuzamishwa baharini na kufungwa miguu ni hao waliokataa kutusikiliza sisi wananchi na wakatudhihaki. Na mpaka hivi sasa hakuna aliekiri wala kuwajibika wanatudhihaki na wanatudharau sana. Sasa nasema ipo siku yale ya tarehe 29 yatajirudia.
  2. east36

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Majina ya hao watu 518 ambao Chande alisema waliuliwa…

    Jibu swali la mtoa mada acha kubwabwaja tu maneno meengi unamaliza miti. " Sasa mimi nauliza, hao watu 518 ni akina nani? Majina yao, jinsia zao, umri wao, na kadhalika, yanajulikana? Je, hati zao za vifo zipo? Je, ndugu zao ni akina nani? " Jibu maswali weka uchawa pembeni.
  3. east36

    JamiiForums Tanzania Majibu kwa Paschal Mayalla: Nani alitoa amri ya risasi au ni sheria ilijiandaa kulinda Jamhuri?

    Bado haihalalishi raia wa nchi inayoongozwa na katiba na sheria kupigwa risasi. Wanatakiwa wakamatwe wapelekwe mahakamani. Siku utakuja kutekwa au kupotezwa wewe au ndugu yako kwa dhulma kisha akili itakukaa sawa maana kuna machawa kama wewe nawafaham vizuri akili zao zimebadilika kwa kukutwa...
  4. east36

    JamiiForums Tanzania Kisaikolojia, mtu anapaswa kufanya nini anapofikia hatua ya kuhisi anaichukia serikali ya nchi yake?

    Wewe ni mpuuzi na hujasoma kama unavyojinasabisha. Hakuna msomi mpumbavu kama wewe
  5. east36

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Lililotokea halikuwa jema kwa yeyote lakini walivyokamatwa kama mama nikasema waachieni. Yaliyotokea yametia doa kwenye Taifa letu

    Wewe ni mpuuzi na hujasoma kama unavyojinasabisha. Hakuna msomi mpumbavu kama wewe
  6. east36

    JamiiForums Tanzania Mbona ripoti ya Hon Chande inapongozwa kabla haijatoka? Kuna nini nyuma ya pazia?

    Ni uchawa tu umewajaa hakuna lolote. Wanawaandaa watu huku wamepokea pesa na maelekezo.
  7. east36

    JamiiForums Tanzania Hakuna mwenye uwezo wa kuandamana nchi hii baada ya show ya October 29 Heche Acha Utapeli

    Elfu 7 tu mkuu wala si pesa nyingi. Wameuza nafsi zao kwa vipande vya fedha.
  8. east36

    JamiiForums Tanzania Tanzania haijawahi kupata Rais kama Samia

    Intellectually disabled
  9. east36

    JamiiForums Tanzania Ni wazi kuwa Nchi kwa sasa haipo kwenye mikono salama

    Unampongeza kwa lipi mzee punguza uchawa.
  10. east36

    JamiiForums Tanzania Tanzania haijawahi kupata Rais kama Samia

    *Intellectually Challenged
  11. east36

    JamiiForums Tanzania Tanzania haijawahi kupata Rais kama Samia

    Hakuna AI bogus wewe acha kumpaisha.
  12. east36

    JamiiForums Tanzania Tanzania haijawahi kupata Rais kama Samia

    Kazi yako ni uchawa sote tunajua.
  13. east36

    JamiiForums Tanzania ‎Nani Anaepaswa kulaumiwa kati ya Mwandishi au Msomaji wa hotuba?

    Kaka kubali ukatae lakini kuna "high degree of incompetence and low IQ". Huwezi soma ukajiskia unachosoma ukadhani uko sahihi.
  14. east36

    JamiiForums Tanzania John Heche: Tusiposikilizwa, tutaitikisa nchi kwa maandamano; Lissu aachiwe huru

    Weka tarehe ya maandamano.
  15. east36

    JamiiForums Tanzania Ni wazi kuwa Nchi kwa sasa haipo kwenye mikono salama

    Anatosha kwa lipi kwa nini nyie machawa majibu yenu mepesi mepesi tu hamna hoja ya maana mnabwabwaja tu kama wajinga?
Back
Top Bottom