Recent content by East Zoo

  1. E

    Mnyonge mnyongeni, Waziri Nyalandu Alikuwa Sawa na Sababu ya Tembo Kuongezeka Mbuga Zetu!!

    Acha ushmba kwan hawawez kuwa walikua na mimba wamezaliana?
  2. E

    Dk. Slaa awaambia CCM kujiandaa kisaikolojia kukabidhi dola kwa amani

    Mrema si mlimuibia ukawa hamuibi,jibu unalo unauliza uninhabited
  3. E

    Mwigulu Lameck Nchemba, Is The Most Genuine So Far!-Can Make The Best President!-Nimeguswa!

    We ---- badilika kwa kuangalia hoja,mtoa hoja anajaribu kusema kuwa ukisikiliza watu watatu utaona tofaut,so anahaki ya kubadilika coz kaona kipya hayupo kama wewe zombi unayekomaa na upande mmoja
  4. E

    Yaliyojiri kwenye Mkutano wa Lowassa wa kutangaza nia ya kugombea Urais - Arusha

    Sasa mda wote tunasubili richmond kaikimbia hajaizungumzia,hatujasahau
  5. E

    Yaliyojiri kwenye Mkutano wa Lowassa wa kutangaza nia ya kugombea Urais - Arusha

    Kingunge anaonekana ana afya na yupo stable kuliko lowasa
  6. E

    Bangi yajadiliwa Bungeni: Spika Makinda adai bangi ya Njombe si kali kama zingine

    Wapo watu na heshima zao wanavuta zaidi ya miaka 30 kwa kustua tu kwa mwez mara moja au 2 na huwez kujua anapiga na hana chenga,sema tu hawajitokez ila mi naona mpaka bot wapo
  7. E

    Bangi yajadiliwa Bungeni: Spika Makinda adai bangi ya Njombe si kali kama zingine

    Kuvuta bangi kwa kiwango kidogo sana hakuna madhara,madhara pale unapoiendekeza kupita kiasi,kila kitu kwa kiasi sio tatizo iwe pombe,mademu,sigara,nk
  8. E

    January Makamba, Dr. Kigwangalla na Mwigulu mna lipi jipya la kutuambia vijana?

    Mi imani nilionayo ccm hakuna anaeweza badili chochote kwa kuwa hawa jamaa wapo bungeni lakini ukiwasikia wanaongea hakuna mchango wowote wa kitaifa mfano mnyika,na lisu utaona masuala ya kitaifa wanavyosimama huo ndo ukijana tena bora kigwangala maana hayupo kwenye system hao wengine wameshidwa...
  9. E

    URAIS 2015: Tanzania tuitakayo inahitaji nini kwanza?

    Kaka kilimo bila masoko hata ulime kiasi gani masoko jk kabania sa mkulima kilimo kitamsaidia nini kama hana soko?
  10. E

    URAIS 2015: Tanzania tuitakayo inahitaji nini kwanza?

    Wote mnazingua tu ,mi naona ukuaji wa uchumi ukiwa mkubwa automatic watoto hawatakosa chakula,kilimo cha kisasa kitakuepo,elimu bora inakuepo,coz yote yanategemea uwepo wa uchumi,hata afya bora inahitaji pesa/uchumi.kwa mtizamo wangu hata mh unaposema ajira kwanza ukamuajiri mtu ukamlipa laki...
  11. E

    Uteuzi wa naibu katibu mkuu CCM Bara: Mgogoro wa waraka na sheria ya utumishi wa Umma

    Mtumishi saw umma hatakiwi kuwa mwanasiasa at the sometime kuendelea kuwaw mwanasiasa,shida iliopo nchini kufanya mambo kienyeji yaan mtu akibisha achaw abishe tz system haifanyi kazi ipo hoi,so hakuna mambo ya kisheria yanafuatwa ndo maana hata wakurugenzi wanashidwa kuperfom kwa kua wanashidwa...
  12. E

    Serikali iwatupie jicho kali BASATA

    Lemutuz katoa mifano bt nilivyomuelewa hajasema tuzo apewe nani nani asipewe ila process inasababisha mtu mwenye kazi nzuri asipate faida ya kazi yake coz ya process,mi huwaga nashangaa watu wasilete majibu ya hoja wanatukana tukana yaani taifa lina kazi kwel,reasoning ya wabongo ni mihemuko,mi...
  13. E

    Serikali iwatupie jicho kali BASATA

    Guys mnasema le mutuz ana chuki,lakini nachoona wachangiaji wengi ndo mnachuki na lemutuz,yaan jamaa hata aongee fact vip kuna watu mtapinga tu,jaman mpinge linalopingika sio kila issue,hv hapo hamjaelewa nini mbona kaexplain vizuri tu zaid mngeongezea au kama mnapinga mtoe solution ya...
Back
Top Bottom