We ---- badilika kwa kuangalia hoja,mtoa hoja anajaribu kusema kuwa ukisikiliza watu watatu utaona tofaut,so anahaki ya kubadilika coz kaona kipya hayupo kama wewe zombi unayekomaa na upande mmoja
Wapo watu na heshima zao wanavuta zaidi ya miaka 30 kwa kustua tu kwa mwez mara moja au 2 na huwez kujua anapiga na hana chenga,sema tu hawajitokez ila mi naona mpaka bot wapo
Mi imani nilionayo ccm hakuna anaeweza badili chochote kwa kuwa hawa jamaa wapo bungeni lakini ukiwasikia wanaongea hakuna mchango wowote wa kitaifa mfano mnyika,na lisu utaona masuala ya kitaifa wanavyosimama huo ndo ukijana tena bora kigwangala maana hayupo kwenye system hao wengine wameshidwa...
Wote mnazingua tu ,mi naona ukuaji wa uchumi ukiwa mkubwa automatic watoto hawatakosa chakula,kilimo cha kisasa kitakuepo,elimu bora inakuepo,coz yote yanategemea uwepo wa uchumi,hata afya bora inahitaji pesa/uchumi.kwa mtizamo wangu hata mh unaposema ajira kwanza ukamuajiri mtu ukamlipa laki...
Mtumishi saw umma hatakiwi kuwa mwanasiasa at the sometime kuendelea kuwaw mwanasiasa,shida iliopo nchini kufanya mambo kienyeji yaan mtu akibisha achaw abishe tz system haifanyi kazi ipo hoi,so hakuna mambo ya kisheria yanafuatwa ndo maana hata wakurugenzi wanashidwa kuperfom kwa kua wanashidwa...
Lemutuz katoa mifano bt nilivyomuelewa hajasema tuzo apewe nani nani asipewe ila process inasababisha mtu mwenye kazi nzuri asipate faida ya kazi yake coz ya process,mi huwaga nashangaa watu wasilete majibu ya hoja wanatukana tukana yaani taifa lina kazi kwel,reasoning ya wabongo ni mihemuko,mi...
Guys mnasema le mutuz ana chuki,lakini nachoona wachangiaji wengi ndo mnachuki na lemutuz,yaan jamaa hata aongee fact vip kuna watu mtapinga tu,jaman mpinge linalopingika sio kila issue,hv hapo hamjaelewa nini mbona kaexplain vizuri tu zaid mngeongezea au kama mnapinga mtoe solution ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.