Kiongozi kuhusu kusajiliwa sina uhakika maana bado sijafika ofisini kwao
Ila website wanayo japo haina maelezo mengi unaweka ukaipitia hapa
https://xbasic-employment-and-labour-relations.business.site/?utm_source=gmb&utm_medium=referral
Na Email yao sio hiyo ni hii...
Ngoja niende nikaone ila kuna mda ukikaa ukijiuliza haya mswali unaona kama ni kama kamchezo hivi.
Sema ngoja ni try kuliko kukaa tu maana hali si nzuri kabisa mtaani.
Habari za uzima ndugu zangu, naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Dhumuni langu la kufungua uzi huu nilikuwa naomba msaada kwa yeyote mwenyewe Kuifahamu hii kampuni inaitwa XBASIS COMPANY LIMITED maana mimi niliiyona kupitia instagram...
Pia niliwah kusikia mbegu ya parachichi ukiisaga then ukaianika ndani maana utakiwi kuanika juani ikishakauka vizuri, alafu ukairudia tena kuisaga ili iwe unga laini kabsa.
Matumizi ni unachanganya huo unga na maji ya moto iwe ni kama chai yako asubuh na jioni ila bila kitafunio na uwe ujala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.