Nimeanza kufuatilia hapa kata ,inabidi tuwe kumi na tutayarishe katiba yetu ,then kikundi kisajiliwe halmashaur watembelee biashara then labda process za pesa ndo zije.Sijajuwa kama kuna 'kalenda' ukishakamilisha mipango au vipi
Habar wakuu ,me ni mjasiriamali nilihitaji mwenye kujuwa kuhusu bank ya equity kuhusu mikopo ya vikundi wanayotoa naskia wako vizuri na hawana usumbufu ,,mwenye kuwajuwa vizur naomba mrejesho
Cc@equity bank
Inauma Sana ,, nahic tatz s kuwa ni waislamu Ila kutokubaliana na serikali iwe n muislamu au sio ,,wapo wapinzani wameuwawa ,wametekwa na wamekuwa vilema
Sure Sana Sana ,,na hao wanaoachiwa ni wachache ,Arusha wapo zaidi ya Mia gerezani mwaka wa tano sasa ,ila hapa kwakuwa uchaguz umekaribia basi wanatafuta Kiki
Habar za kazi wakuu ..naomba kujuzwa taratibu za kupata mkopo wa halmashauri kwa vijana ...Sisi tayr tuna biashara ya kuni na mwenzangu ila naskia mpk mtimie watano ...Tax identification number na lesen ya biashara vipo
Kwa waliowah pata au fuatilia naomba tujuzane
Me nliupenda ualimu toka moyon yn kila nlipokua nkiingia darasani ht kama Niko na stress bs zte zilipotea ...kushika chaki ..kufundsha somo nnalolipenda ..wanafunzi wangu kufaulu na sifa nlizozipata na heshima kwangu vilinijaza furaha Sana ..ila ilibd niache kaz baada ya miaka miwili jp nlilipwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.