Katika kupitia uzi pendwa mzee Jason Bourne na Mkuu Kiga wametuonesha kuwa kusoma vitabu vilisaidia wao kujua jinsi ya kupata nywila za wenzi/wapenzi wao.
Wanadau naombeni vitabu mlivyosoma ili tusaidiane kwenye libeneke, maana sio wote wameenda jando
Mleta mada, jikubali na umbo lako ulivyo wapo tunaopenda wasio na makalio makubwa na wapo tunaopenda makalio makubwa... kama waswahili wanavyosema "wewe wasema cha nini wengine wanasema nitakipata lini"
cha umuhimu kila mtu na starehe yake na anafurahia
Mtihani wenu mkubwa katika maisha ya mahusiano ni pale mpenzi mpya anapoomba game...
Huwa mnawaza sana size ya maumbile ya mwanaume na huwa inawapa "homa" pale unapoona dole gumba na sign zote mnazptumia kujua maumbile ya kiume zikiashiria ukubwa au urefu.
Je ni kweli mna tabia hizi
Nina imani kila binadamu ana kitu pendwa chake, waopenda wanawake bikra wana sababu zao za msingi na wasiopenda wanawake bikra wana sababu zao za msingi, si vyema kukashifu pande hizi (bikra na wasio na bikra)...cha muhimu kila mmoja kafurahia tendo mkutanapo kwenye "game"...so don't feel...
Hapa ndio msingi wa swali langu maana kuna wazee wawalikua wanaeleza hili jambo na nimeambiwa zamani hizo mzee anajua kabisa hii sio damu yangu ila ndio wanasema kitanda hakizai haramu analea mtoto na anampatia jina...ila mama mpaka anakufa hasemi yule mtoto ni wa nani
experience is the best teacher, ndio kinachowabeba wanawake/wanaume walio enda umri...tatizo la wanawake wakubwa wengi ni kutengeneza haki miliki "anataka uwe chini yake" hapo ndio tofauti inapotokea
Zaidi ni watu wazuri wanaku shape na mapambano ya dunia na kukufungua macho mambo ya...
Nilipata simuliwa kuwa wanawake wa kizungu wana tabia ya kwenda sehemu za mbali na kum target mtu kwa ajli ya kuzaa nae kisha kupotea/kupoteza mawasiliano nae...
Je Tanzania kuna wanawake wa namna hiyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.