Hapana kaka hujanikosea chochote it's your opinion boss.Though sidhani kama kuna mtu asiye na kazi na anayethink rationally akaona bora akae bila kazi kuliko kuomba kazi kwenye taasisi ambazo zinalipa vizuri, akisubiri mpaka taasisi zinazolipa vizuri zaidi zitangaze ndo aombe kazi tena kazi...
Hivi wadau kwani inawezekana, ukakata ticket gari ya kutoka DAR kwenda MUSOMA, halafu ukaisubiria itoke Dar Ili uje kuipanda ikifika Morogoro ?
Maana wengine kusafiri comfortably inabidi upate seat namba mbili, tukipanda za mbali bhas ni full kizungu zungu na kutapika njiani. So hiyo huduma...
Yeah, ni kweli boss unayoyasema SEMA tu Taasisi nyingine huwezi omba uhamissho maana ofisi zipo sehemu Moja tu so option ni Moja TU ya kuhama, na ingekuwa otherwise huenda nsingewaza Hivi, Pia kuwa kwenye system is cool ila kupata mazingira mazuri ya kufanyika kazi ni coolest zaidi ndo maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.