Recent content by dyagaya

  1. D

    Jerry Silaa kashindwa kazi?

    MNYONGE MNYONGENI HAKI YAKE MPENI UNACHEKI SURA NA MAMBO YAKE? hawa ndio vijana wa kileo kawaoneni oneni pale Mnazi mmoja kwa Mkama wanavyojipitisha kwa MKAMA wakitafuta mapande ya Ukuu wa WILAYA.
  2. D

    Dr. Slaa makampuni yasiyorejesha pesa za EPA hadharani

    Taarifa za fadhaha kama hizi kwa serkali yetu inakuwa kama ni donda ndugu maana WEZI WA EPA ndio wanoendesha uchumi wetu muda ukifika watakoma tu.Wako wapi akina GADDAFI
  3. D

    Ndolanga achezea kichapo msikitini

    Wamakonde kwa ubabe hadi kwenye mambo ya mungu kwa umri wake sasa ilihitaji apate faraja ya kulea wajukuu wake badala ya kujikita kwenye mabo yasiyokuwa na tija
Back
Top Bottom