Recent content by Dvanjoh

  1. Dvanjoh

    Ni wapi wanafundisha lugha ya Kichina Arusha?

    Habari wanajamii! Naomba kuuliza kwa anayejua ni wapi wanafundisha lugha ya Kichina Arusha.. Ukiachana na chuo cha uhasibu njiro.
  2. Dvanjoh

    Natafuta laptop

    Picha
  3. Dvanjoh

    Natafuta laptop

    Laptop yako ni aina gani..toa specifications
  4. Dvanjoh

    Viwanja Moshi Kilimanjaro,

    Tena Bangi Mbichi.
  5. Dvanjoh

    TANAPA bado siku 3 deadline ifike ya maombi ya kazi lakini system yenu mbovu

    Nawashauri tuu,mjaribu kutulia kwa umakini na computer zenu,system yao haina shida wala,labda kama network zenu sio nzuri,tulieni tuu kwa umakini,na kama huna uzoefu wa jinsi ya kucheza na mitandao(systems) mtafute mtu akusaidie.
  6. Dvanjoh

    Natafuta simu aina ya Xiaomi ya kununua

    Ninayo..ila ni used..nicheki PM We inaonekana unajua simu.. Xiaomi is the best chinese phone.
  7. Dvanjoh

    Natafuta Toyota Ist.

    Wadau mwenye ist aje DM fasta..Bei yangu million 6.
  8. Dvanjoh

    IPHONE 4s FOR TSH 200,000/

    Ipo kwenye hali nzuri. Haina cracks Napatikana Dar es salaam Njoo PM.
  9. Dvanjoh

    Nahitaji mtu anayeuza smartphone

    IPHONE 4s IPO BEI TSH 200,000 DAR ES SALAAM
  10. Dvanjoh

    TECNO C8 THS. 150,000/

    Dah..hapo pagumuu..
  11. Dvanjoh

    TECNO C8 THS. 150,000/

    Karibu sana.
  12. Dvanjoh

    TECNO C8 THS. 150,000/

    Kama unania na mahitaji ya simu nzuri panda nikuachie.
  13. Dvanjoh

    TECNO C8 THS. 150,000/

    Hongera sana kijana..
  14. Dvanjoh

    TECNO C8 THS. 150,000/

    Temeke dar es salaam
  15. Dvanjoh

    TECNO C8 THS. 150,000/

    Hapana boss..haitofaa.
Back
Top Bottom