Recent content by Duxa

  1. D

    Ningekuwa CC ya CHADEMA ningemsamehe Kitila Mkumbo

    Kafyulila umenena! ninaunga mkono kauli yako. lakini ninaongeza pia kwamba kama mimi ningekuwa baraza kuu ningefanya maamuzi magumu ya kuwasamehe wote watatu lakini kwa kutoa onyo kali kwamba wamejifunza wasirudie jaribio lile na linalofanana nalo. wote waendelee kuwa wanachama wa kawaida adhabu...
  2. D

    Mtazamo wangu kwa mh. Edward lowasa

    Hivi SUMAYE na Lowasa nani kafanya kazi nzuri? dadavua hapa kutushawishi nani bora
  3. D

    Kuzomewa kwa Zuma na Dr. Slaa huko Kigoma: Tunajifunza nini?

    Hasara kubwa which cannot be bailout easily
  4. D

    Kuzomewa kwa Zuma na Dr. Slaa huko Kigoma: Tunajifunza nini?

    Ila hukumzungumzia Dr Slaa pamoja na kuwepo kwenye heading yako. Bila shaka kivuli chake kinakutisha. Kwa hakika unajua hakuzomewa ila wahuni waliotumwa na magamba walimwonyeshea bango linalomuunga mkono mamluki wenu zzk
  5. D

    Hii ndiyo CHADEMA yetu bwana

    Acha jazba na ushabiki usio na maana wala faida. Hakuna anayekatazwa kugombea uongozi katika ngazi yoyote ndani ya CHADEMA. Kinacholeta shida ni kutokufuata taratibu zilizowekwa na chama na kwa muda mwafaka. Viongozi wenzako wanafanya kazi nzito ya kujenga chama wewe unapanga mbinu chafu na...
  6. D

    Mpango mzima wa kuihusisha CHADEMA na ugaidi mpya huu hapa

    Mtoi yuko sawa ila ninyi wengine ndo mnashindwa kusoma na kuelewa vizuri alichosema. unapotaka kumpinga mwenzako hasa GT hakikisha unachukua muda wako kidogo kufikiri na kutafakari vinginevyo ni ushabiki usiotumia akili
  7. D

    Majibu ya Waraka wa Manyerere Jackton na Pasco wa JF, kuhusu yanayoendelea CHADEMA

    Makene wewe ni noma na unatisha! Big up kamanda! Ni aina ya viongozi na wanaCDM tunaowataka. Keep it up man!
  8. D

    CHADEMA yawavua uanachama Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba

    sijui kama leo zzk atapata usingizi, maskini
Back
Top Bottom