Kafyulila umenena! ninaunga mkono kauli yako. lakini ninaongeza pia kwamba kama mimi ningekuwa baraza kuu ningefanya maamuzi magumu ya kuwasamehe wote watatu lakini kwa kutoa onyo kali kwamba wamejifunza wasirudie jaribio lile na linalofanana nalo. wote waendelee kuwa wanachama wa kawaida adhabu...
Ila hukumzungumzia Dr Slaa pamoja na kuwepo kwenye heading yako. Bila shaka kivuli chake kinakutisha. Kwa hakika unajua hakuzomewa ila wahuni waliotumwa na magamba walimwonyeshea bango linalomuunga mkono mamluki wenu zzk
Acha jazba na ushabiki usio na maana wala faida. Hakuna anayekatazwa kugombea uongozi katika ngazi yoyote ndani ya CHADEMA. Kinacholeta shida ni kutokufuata taratibu zilizowekwa na chama na kwa muda mwafaka. Viongozi wenzako wanafanya kazi nzito ya kujenga chama wewe unapanga mbinu chafu na...
Mtoi yuko sawa ila ninyi wengine ndo mnashindwa kusoma na kuelewa vizuri alichosema. unapotaka kumpinga mwenzako hasa GT hakikisha unachukua muda wako kidogo kufikiri na kutafakari vinginevyo ni ushabiki usiotumia akili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.