Ndugu yangu Anheuser, nikupongeze kwa changamoto uliyonipa,lkn iko hivi:
Sheria za kiislam hauwezi kuziita ni sheria za nchi bali zenyewe zinabaki kuwa sheria za dini ya kiislam, isipokuwa zinatambuliwa na mamlaka.
nikuulize kidogo, zipo sheria za nchi ya kenya, TZ,A.Kusin wanazo zao, marekani...