This Hidden Binance Feature Earned Me $4,600 in 30 Days
My Binance Mining Payout Hit $95,000 This Month – Here’s the Proof (Screenshots + Strategy)
Binance Mining Paid My $4,200 Rent for an Entire Year
Weiterleitungshinweis
How to Make $1,000 Per Week Mining Crypto on Binance (No Experience...
Mkuu kwa lugha sahihi hizo ni toture chambers. Ni ajabu na aibu sana kwa nchi yetu kuwa na sehemu hizo. Idi Amin dada alishutumiwa sana, Tanzania ikiwemo kuwa alikuwa na vyumba vya kutesa watu kwenye vituo vyake vya usalama, yaani watu wanateswa kuliko enzi za Miungereza. Muda ufike sasa...
Mkuu umetoa ufafanuzi uliojitosheleza. Mtoa hoja huenda ana maslahi na kesi hii. Huenda ana ujamaa na huyo afande mtuhumiwa. Kwani hata akipelekwa mahakamani na kwa bahati akachoomoka, polisi watapata hasara gani. Huwa wanawambabikiza kesi viongozi wa upinzani kwa makesi ya kijinga ambayo huwa...
Mkuu hebu fedha wanazo pata zilinganishe na wanazopata wanasisasa , wabunge mawaziri na wakuu wengine serekalini na viongozi wa ccm ni kufuru kubwa. mbunge baada ya miaka mitano analamba kiasi gani? na kila mwezi wanalamba mamilioni mangapi. Hii nchi wanao faidi ni viongozi wa serekali na...
Mkuu huo Sasa ni uchizi tangu lini ushahidi ukatolewa na wafu. Huyo unaemuta dikteta ana zana zipi za kujiweka madarakani. Au nae anawekwa madarakani na vyombo vya dola vya ccm? Hivi kweli kama anakiweka madarakani kinyume na sheria za nchi vipi vyombo vya sheria vya serekali ya ccm vishindwe...
Mkuu kwanini ccm mnamuogopa Mbowe? Toka lini Uongozi wa kwenye chama ukawekewa ukomo, Uongozi wa chama ni matakwa nauchaguzi wa wenye chama wanacham.
Kwani mzeenyerer aliongoza kwa miaka mingapi? Mbona hamkupiga makelele? Uongozi wa nchi ndio unaowekewa ukomo kwa sababu ni rahisi kwa kiongozi...
Kumbe hapo awali pesa zetu zilikuwa zinaliwa? Mkuu uongozi wa serekali ulikuwa wa chama kipi. Chama hicho hicho wezi wa hizo pesa zetu wamo humo humo kwenye hicho chama. Ccm mbona hamueleweki. Wizi mfanye wenyewe, na kujisifu mjisifu wenyewe. Mkuu tueleze kama pesa ziliibiwa, walioziiba wangapi...
Mkuu hat America sijasikia, Dokta Washington, Dokta Bush wala Dokta Obama au Dokta Trump. Hata urusi hakuna Dokta Putin.Tanzania tunamaradhi ya ubongo nadhani.
Kwa taarifa yako baada ya shirika la ndege la afrika mashariki kufa ATC ilipoanzishwa ilinunuliwa ndege mpya aina ya B732 Nakumbuka mbili zilliku n a registration 5HMRK na 5HATC. Ambazo baada ya Nyerere kustafu ziliuzw kifisdi kw shirika la Afrika ya Kusini na Atc kutumia ndege za kukodi toka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.