Recent content by DUMPER

  1. D

    JamiiForums Tanzania Kwani ndugu zangu Ccm ni LAZIMA mridhiane na Chadema si Bora mridhiane na Chaumma iliyokuwa na mgombea wa Urais au Act

    Tatizo ni wale akina " WHO ARE YOU?" Wanakitabua chama kimoja tu cha Chadema na wanamtabua kiongozi wa upinzani mmoja tu ambaye ni Lissu. Kuna mamillions ya akina who are you wa Europe yamezuiwa na moja ya mashariti ni wao kuzungumza na chadema
  2. D

    JamiiForums Tanzania Kwa Heri Dar (Mkoani) Karibu Dodoma HQ. Serikali Kuifanya Dodoma kuwa Kitovu Kikuu Cha Uchumi wa Nchi

    Nigeria walikuwa wanafikiria itawezekana ABUJA kuizidi LAGOS,,,,,Ni vitu haviwezekana kwenye uhalisia, labda kwenye Makaratasi
  3. D

    JamiiForums Tanzania Mwandishi awabana waumini aomba kuona uthibitisho kama kweli ni wakatoliki

    Watu kama hawa watafanya tumwelewe PM Nyetanyau aliesema Israeli imeanzisha vita ya kumpambana na watu wanaopambana na ukristo Africa.
  4. D

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Apewa Tuzo na Makandarasi wazawa kuongeza wigo wa Thamani ya kazi za wazawa kutoka Bilioni 10 Hadi Bilioni 50

    Huyu Mama amekuwa wa hovyo na kazungukwa na watu wa hovyo.Binafsi sasa nimeamini hii generation yetu elimu kubwa tuliopata ni tatizo.Hope Gen Z watakomboa hii nchi.
  5. D

    JamiiForums Tanzania Hivi Holland na Netherland kwanini zote kwa kiswahili zinaitwa Uholanzi?

    Holland ni majimbo mawili kati ya 12 ya majimbo yote ya Neitherland ....Wao ukiwauliza wanasema ni kwasababu ya utajiri mkubwa wa hayo majimbo mawili(Holland) na historia ya ufalme. Mfano mzuri ni sawa na England na United of Kindom kiswahili tunasema yote ni uingereza
  6. D

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia ameshinda, Watanzania wameshinda Taifa limevuka na Maadui zetu wameaibika vibaya sana

    Wafanya Biashara wakubwa wa Kihindi wamekimbilia Kenya, waache wakirudi tu mandamano hayao
  7. D

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kumbe Tundu Lissu hakuwa na Fedha za kujikimu, Samia akatoa kijiposho chake cha safari akampa

    Ndo Maana anampeda Mbowe. Huyu Mama na litoto lake wanapenda sana kuonga pesa.
  8. D

    JamiiForums Tanzania Hivi kaka yake Humphrey Polepole ni mwanajeshi kweli wa NATO? Mbona mikwara imekuwa mingi

    Kwani Mwanajeshi wa Nato yukoje mpaka wewe unasema huamini?
  9. D

    JamiiForums Tanzania Kwa video hii ni wazi kuwa Watanzania hawanunui tena uoga. Tunapoelekea sio pazuri

    Watu wanamsifia tu kwasababu ya njaa zetu ila mama kama taifa tumepigwa
  10. D

    JamiiForums Tanzania Mzee wetu Mwandambo ana ujumbe kwa Jeshi letu la Wananchi

    Mkakati ulikuwa na kuondoa zile kanda maalum kwenye top ya hilo jeshi
  11. D

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Huu ni Muda Mwafaka wa kununua Siraha
  12. D

    JamiiForums Tanzania Oktoba 29 wananchi hawakuua Polisi yeyote, maandamano yajayo tutarajie polisi wengi watakaoingia mitaani kufa na vituo vya polisi vingi kuharibiwa

    Lazima ninunue Bunduki safari hiii...Nilikuwa nawalaumu Wamarekani sasa nimelewa umuhimu wa kuwa na Bunduki, wale wasenge kumamae zao walikuwa wanapita dirishani kwangu na kupiga risasi watu hovyo nikaishia kupiga picha na video kama mtoto mdogo...japo video nimeituma wa maria lakini...
  13. D

    JamiiForums Tanzania Huyu ndio mmiliki halisi wa Lake Oil

    Hiyo inaitwa utakatishaji pesa chafu. Kuna mwanasiasa kampa hizo pesa
  14. D

    JamiiForums Tanzania Ilikuwa LAZIMA wafanye hivi, vinginevyo…

    Ndo na mimi nashangazwa kwani mwanzoni si alikuwa rais vilevile.
Back
Top Bottom