Recent content by DUMPER

  1. D

    Mwandishi awabana waumini aomba kuona uthibitisho kama kweli ni wakatoliki

    Watu kama hawa watafanya tumwelewe PM Nyetanyau aliesema Israeli imeanzisha vita ya kumpambana na watu wanaopambana na ukristo Africa.
  2. D

    Rais Samia Apewa Tuzo na Makandarasi wazawa kuongeza wigo wa Thamani ya kazi za wazawa kutoka Bilioni 10 Hadi Bilioni 50

    Huyu Mama amekuwa wa hovyo na kazungukwa na watu wa hovyo.Binafsi sasa nimeamini hii generation yetu elimu kubwa tuliopata ni tatizo.Hope Gen Z watakomboa hii nchi.
  3. D

    Hivi Holland na Netherland kwanini zote kwa kiswahili zinaitwa Uholanzi?

    Holland ni majimbo mawili kati ya 12 ya majimbo yote ya Neitherland ....Wao ukiwauliza wanasema ni kwasababu ya utajiri mkubwa wa hayo majimbo mawili(Holland) na historia ya ufalme. Mfano mzuri ni sawa na England na United of Kindom kiswahili tunasema yote ni uingereza
  4. D

    PostGE2025 Rais Samia ameshinda, Watanzania wameshinda Taifa limevuka na Maadui zetu wameaibika vibaya sana

    Wafanya Biashara wakubwa wa Kihindi wamekimbilia Kenya, waache wakirudi tu mandamano hayao
  5. D

    PostGE2025 Kumbe Tundu Lissu hakuwa na Fedha za kujikimu, Samia akatoa kijiposho chake cha safari akampa

    Ndo Maana anampeda Mbowe. Huyu Mama na litoto lake wanapenda sana kuonga pesa.
  6. D

    Hivi kaka yake Humphrey Polepole ni mwanajeshi kweli wa NATO? Mbona mikwara imekuwa mingi

    Kwani Mwanajeshi wa Nato yukoje mpaka wewe unasema huamini?
  7. D

    Kwa video hii ni wazi kuwa Watanzania hawanunui tena uoga. Tunapoelekea sio pazuri

    Watu wanamsifia tu kwasababu ya njaa zetu ila mama kama taifa tumepigwa
  8. D

    Mzee wetu Mwandambo ana ujumbe kwa Jeshi letu la Wananchi

    Mkakati ulikuwa na kuondoa zile kanda maalum kwenye top ya hilo jeshi
  9. D

    PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Huu ni Muda Mwafaka wa kununua Siraha
  10. D

    Oktoba 29 wananchi hawakuua Polisi yeyote, maandamano yajayo tutarajie polisi wengi watakaoingia mitaani kufa na vituo vya polisi vingi kuharibiwa

    Lazima ninunue Bunduki safari hiii...Nilikuwa nawalaumu Wamarekani sasa nimelewa umuhimu wa kuwa na Bunduki, wale wasenge kumamae zao walikuwa wanapita dirishani kwangu na kupiga risasi watu hovyo nikaishia kupiga picha na video kama mtoto mdogo...japo video nimeituma wa maria lakini...
  11. D

    Huyu ndio mmiliki halisi wa Lake Oil

    Hiyo inaitwa utakatishaji pesa chafu. Kuna mwanasiasa kampa hizo pesa
  12. D

    Ilikuwa LAZIMA wafanye hivi, vinginevyo…

    Ndo na mimi nashangazwa kwani mwanzoni si alikuwa rais vilevile.
  13. D

    GE2025 ANC waisagia CCM, wasema walifika Tanzania lakini hawakuweza kufanya uangalizi wa Uchaguzi

    sasa wangepelekwa wapi? Wakati kwenye vituo hakukuwa na watu
  14. D

    Kwa alichosema Mange Kimambi kama ni kweli, basi JWTZ walipaswa waseme mapema zaidi

    Hiyo ipo hivyo kwa majeshi yote Duniani ila ni kwa siraha kubwa tu na sio siraha ndogo. Na lengo la hilo ni usalama . Maana uko kabini nako kuna Wanajeshi wengi vichaa anaweza kubeba hiyo siraha kubwa na akaingia nayo mjini na kupiga watu, so hiyo ni kwa sababu ya security tu ya hizo siraha...
Back
Top Bottom