Hivi Haya Maccm hayakujifunza Arumeru kwa Sioi? AMA kweli sikio la Kufa halisikii dawa. Maccm subirini mkong'oto mwingine jimbo la Karenga. Lazima mpate kipigo cha mbwa mwizi.
Hongereni Makamanda wa Arusha kwa kuifanya vibaya CCm. Hapa kata ya KILELEMA jimbo la Manyovu Kigoma CDM imewabana ccm mpaka Mkuu wa Mkoa Col. Issa Machibya amehamia Kwenye Kata hiyo.
Msaada Kwenye Tuta tafadhali. Naomba mnisaidie kuangalia vizuri, hivi kundi maalumu la wajasiriamali limekumbukwa katika majina ya wajumbe wa Bunge la katiba? Kwa uelewa wangu ni kwamba Kundi la Wajasiriamali ni muhimu sana kwa vile wana mchango MKUBWA katika ukuaji wa uchumi wa Taifa letu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.