Recent content by Dumejr

  1. D

    JamiiForums Tanzania I'm not happy with my life

    Pole sana 😢
  2. D

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza fridge aina ya Ailyons

    Ok sawa
  3. D

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza fridge aina ya Ailyons

    Ndio mazungumzo yapo kwa muhitaji
  4. D

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza fridge aina ya Ailyons

    Kwa anicheki kwa no hii 0753650782
  5. D

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza fridge aina ya Ailyons

    Habari ndugu zangu nauza fridge 300,000 ni fridge used miezi 6 aina ya AILYONS mwenye uhitaji anicheki.
  6. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ninaishi na maumivu

    Pole sana dada
  7. D

    JamiiForums Tanzania Natafuta fremu ya biashara

    Natafuta fremu ya biashara maeneo ya temeke kodi isizidi 100k
  8. D

    JamiiForums Tanzania Chumba master 80k kinafaulishwa kipo kigamboni soweto

    Master ya 80k kigamboni soweto bado kinafaulishwa mwenye uhitaji anicheki
  9. D

    JamiiForums Tanzania Chumba master 80k kinafaulishwa kipo kigamboni soweto

    Ndio boss kipo ndani ya geti
  10. D

    JamiiForums Tanzania Chumba master 80k kinafaulishwa kipo kigamboni soweto

    Habarini kuna chumba kinafaulishwa kipo kigamboni soweto ni master ya 80k
  11. D

    JamiiForums Tanzania Kwa wafanyabiashara walionza na mitaji midogo na wakafanikiwa

    Nimekuambia uni pm nikupe hela unipe ushauri hio bure imetoka wapi alafu soma vizurii uelewe sijaomba mtu hela hapa na kila mtu ana uhuru wa kuuliza anachokitaka hapa iwe bure au kwa hela inategemea na mhusika anataka nn naomba unikaushie kama huna cha maana cha kuchangia
  12. D

    JamiiForums Tanzania Kwa wafanyabiashara walionza na mitaji midogo na wakafanikiwa

    We jamaa unaonekana unapenda hela sana nini maana ya jamii forums kuweka majukwaa kama haya basi ni pm nikupe hela unipe ushauri
  13. D

    JamiiForums Tanzania Kwa wafanyabiashara walionza na mitaji midogo na wakafanikiwa

    Naamini kuna changamoto ambazo ni common kwenye biashara wafanyabiashara wanazijua wenyewe ni bora huzitaje ili ziweze kutusaidia kuziepuka
  14. D

    JamiiForums Tanzania Kwa wafanyabiashara walionza na mitaji midogo na wakafanikiwa

    Sawa mkuu nitazingatia hilo
  15. D

    JamiiForums Tanzania Kwa wafanyabiashara walionza na mitaji midogo na wakafanikiwa

    Sawa mkuu nimekuelewa
Back
Top Bottom