Recent content by Duly zura

  1. D

    Vigogo wa Tanzanite One mbaroni Arusha

    Mbona tunasikia kesi ilikua ni kumwaga maji mgodini kwao
  2. D

    Mafunzo ya JKT kwa kujitolea kwa mwaka 2016

    Jamani nani anakale ka chenja kanaimbwa Awee tunaondokaa haya twendee...tunaondoka haya twende selinaa ooohh selinaa we ...haya twendee! plz naomba mtu anitumie kwenye watsapp yangu +255714478797
  3. D

    Nina 600,000 cash nahitaji laptop

    Nimepata kwa 650,000 asanteni
  4. D

    Nina 600,000 cash nahitaji laptop

    Iwe core i5 Atleast 4GB ram Atleast 500GB hdd Iwe slim (nyembamba) Isiwe na michubuko We can negotiate on price kama unayo nichek kwa +255714478797
  5. D

    Toyota Isis wanted urgently

    Hahahaha kumbe nawewe ni team #changia wese# eenh safi sana.nzuri hiyo by ze way nimeshapata gari hiyo
  6. D

    Toyota Isis wanted urgently

    Ayayaa gechie mbona unaniambia ukweli.mbele za watu aisee?dah so vizuri Wadau bado haijapatikana?naongeza 200 ya dalali
  7. D

    Toyota Isis wanted urgently

    Hahahahaahahahaaaahaaa
  8. D

    Toyota Isis wanted urgently

    Nafkiri ushajibiwa na wengine.kuwa mtulivu katika kusoma
  9. D

    Toyota Isis wanted urgently

    Vipi hyo iko sokoni?
  10. D

    Toyota Isis wanted urgently

    Mbaya kwako mkuu wangu.kwangu safi sana
  11. D

    Toyota Isis wanted urgently

    Nahitaji toyota isis mwaka 2006 kwa 8m Check me +255714478797
  12. D

    Niuzie Toyota Isis ama Wish ASAP

    Nahitaji Toyota Wish ama Isis haraka iwezekanavyo kwa pesa za Tanzania zisizozidi million 8. Tuwasiliane kwa no +255714478797.
  13. D

    Nyumba inauzwa Arusha, Njiro ghorofa mbili

    Bado najarbu ku upload picha zinagoma goma
  14. D

    Nyumba inauzwa Arusha, Njiro ghorofa mbili

    Habarini wadau.natumai mpo poa sana nimekuja kwenu kuwatangazia kwamba kuna nyumba bro wangu anaiuza iko maeneo ya Arusha njiro ghorofa mbili. Kiwanja ni 30*25 nyumba ina vyumba vinne master bedroom included......pamoja na sitting room na jiko kuna uwanja mkubwa wa parking. Bro kaishiwa na...
Back
Top Bottom