Amani iwe nanyi.
Kuna hii taa ya check engine inawaka gari nimeipeleka kwa fundi wamehangaika nayo siku nzima ila bila mafaniko.
Na inawaka pale gari linapokuwa kwenye mwendo dk moja au mbili baada ya kuendesha.
Msaada kwa wandewa japo wa kifikra nijue naanzia wapi kutafuta ufumbuzi.
Daaah hatari sana haya mambo..[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila bora ulijiongeza mapema kugundua kwamba mbona muandikiko wa kiume huo kwa maana mngeweza kupanga mpk location ya kukutana ikawa kituko huko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.