Recent content by duleikhufa

  1. D

    Taa ya check engine inawaka na fundi amehangaika nayo bila mafaniko

    Wamekuwa na msaada mkubwa sana. Nashukuru kwa hilo. Mungu awabariki nyote
  2. D

    Taa ya check engine inawaka na fundi amehangaika nayo bila mafaniko

    Samahan mambo ya smartphone haya hasa ukiwa hujatulia na kutype.. naomba radhi kama limekukwaza
  3. D

    Taa ya check engine inawaka na fundi amehangaika nayo bila mafaniko

    Nashukuru sana kaka umenipa wazo.. ubarikiwe sana
  4. D

    Taa ya check engine inawaka na fundi amehangaika nayo bila mafaniko

    Amani iwe nanyi. Kuna hii taa ya check engine inawaka gari nimeipeleka kwa fundi wamehangaika nayo siku nzima ila bila mafaniko. Na inawaka pale gari linapokuwa kwenye mwendo dk moja au mbili baada ya kuendesha. Msaada kwa wandewa japo wa kifikra nijue naanzia wapi kutafuta ufumbuzi.
  5. D

    Mbwa kala Mbwa (kituko)

    Daaah hatari sana haya mambo..[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila bora ulijiongeza mapema kugundua kwamba mbona muandikiko wa kiume huo kwa maana mngeweza kupanga mpk location ya kukutana ikawa kituko huko.
Back
Top Bottom