Recent content by duisburgm1

  1. D

    Gari gani linapaswa kuanza kuondoka?

    Wameshavuka mstari wa ONYO
  2. D

    Nauliza hili Swali kwa Hasira Kali sana za ki Musoma (Mara) na natamani mngeniona jinsi Uso wangu nao Ulivyofura

    Comment Kali ya kufungulia mwaka. Anyway, huko kwenye chama mnakaa dawati moja na Luka
  3. D

    KERO Wahandisi wa Halmashauri tunaonewa

    Tena nyinyi Anonymous na wahandisi wa mwendo Kasi mtapelekwa Sana. Wengi hamjitambui.
  4. D

    Kanisa Katoliki hapa Tanzania aliyekuwa na hekima kuliongoza ni Askofu Pengo tu wengine ni mipasho tu

    Maaskofu Mahalia wanapokusanyika pamoja wanakuwa chini ya Rais wa Baraza lao. Tanzania Rais wao sio Mwadhama Polcap Kardinali Pengo Wala Askofu Mkuu wa Jimbo la Tabora Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa
  5. D

    Kanisa Katoliki hapa Tanzania aliyekuwa na hekima kuliongoza ni Askofu Pengo tu wengine ni mipasho tu

    Ndugu deblabant umeonyesha kutofahamu muundo wa Uongozi wa Kanisa Katoliki. Lakini pia huonyeshi kukumbuka kilichotokea wakati wa mvutano wa Wana siasa na Kanisa Kipindi hicho unachomsemea Mwadhama Polcap Kardinali Pengo. Tafuta jibu alilompa Marehemu Kingunge Ngombare Mwiru.
  6. D

    Kanisa Katoliki msirudie tena kosa la kuruhusu viongozi wa kisiasa kuhutubia (hata misibani)

    Heshima kwako Erythrocyte. Sipendi kujikita sana kwenye Nani mdhambi. Itoshe kusema fuatilia vema itifaki ya Kanisa Katoliki Kati ya Altare na mahali pa kutolea Homilia. Kwa umahususi wa Kanisani -Parokia ya Kiwanja cha Ndege Dodoma, wasiokuwa wadarajiwa (wote) walipewa nafasi ya Kuzungumza...
Back
Top Bottom