Sina hakika kwamba Rais Kikwete anaweza kumuonea wivu Waziri wake be it Magufuli au yeyote mwingine maana yeye mwenyewe ndiye mamlaka kuu ya uteuzi. Ni dhahiri kuwa kama anaona mtu fulani anamfunika kiaina bila shaka anaweza kumbadili pasipo kutoa sababu za kufanya hivyo. Ni kweli kwamba Waziri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.