Recent content by Dudumizi

  1. D

    Rais Kikwete anamhujumu waziri Magufuli?

    Sina hakika kwamba Rais Kikwete anaweza kumuonea wivu Waziri wake be it Magufuli au yeyote mwingine maana yeye mwenyewe ndiye mamlaka kuu ya uteuzi. Ni dhahiri kuwa kama anaona mtu fulani anamfunika kiaina bila shaka anaweza kumbadili pasipo kutoa sababu za kufanya hivyo. Ni kweli kwamba Waziri...
Back
Top Bottom