Recent content by dudulayuyu

  1. D

    SUMATRA Tanga, hili la Kichangani limekaaje?

    Daladala za Kichangani zinatoza nauli 1000 ilihali mlangoni pameandikwa 600 ,mwanafunzi anatozwa mia nne 400 ilihali mlangoni ni 200. Daladala zimeanzisha route ya kichangani mzimu hodi bila kibali mwanafunzi akipanda daladala kutoka mjini gari zikifika kichangani wanafunzi wanaambiwa waongeze...
  2. D

    Mortuary attendant

    Wakuu naombeni msaada wa chuo kinachotoa kozi ya mortuary attendant,natanguliza shukrani
  3. D

    Richest man in babylon

    Habari ndugu natumai ni wazima ,nina shida ya kitabu tajwa hapo juu hasa tafsiri yake ya kiswahili ,kulikua na uzi wa kitabu hiki mwenye link aniwekee hapa
  4. D

    Una experience gani mbaya au nzuri kuhusu kukaa kwa ndugu?

    Nikitokea kijijini nilifika town kwa mara ya kwanza kwa kaka yangu,shemu akapka akanikaribisha mezani akanambia shemu karibu chakula,nilipofka mezani nkakupa hotpot lina ugali mimi nkajua ni wangu wote Mana nimekaribishwa nikala wote kumbe ilikua ni chakula cha familia nzima ,nililaza watu na...
Back
Top Bottom