Hahaha m namuelewa askofu hata mim nilkuwa siipendi CCM lakin Baada ya magufuli kuingia madarakan na mambo aliyoyafanya hasa kipindi cha corona aise nilgundua kuwa nilkuwa nakosea sana kuichukia CCM
Wanakawe tujiulize kama alikaa miaka 10 na hajatimiza hii miaka 5 atafanya nin ilikutimiza au atakuja na mbinu gan mpya za kutimiza yale ambayo hakutimiza kwa miaka 10 kama sio utapeli
Tulipoona n mwanamke tuliamua kumuamin na kumpa kura zetu kwa mapenzi lakin amevunja imani yetu baada ya kukaa miaka 10 bila hata kutetea jimbo lake Halima hastahili kabsa kupewa kura hata moja aende tu akapumzike
Miaka 10 wewe uko ubunge na haujakamilisha kitu hata kimoja kila jambo unasema linaendelea so utaendelea mpaka Yesu arudi na atakukuta haujakamilisha lakin mwaka huu pumzika tu Gwajima akusaidie kutimiza yale ambayo haujakamilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.