OK,nmepata taarifa kwamba chuoni aupokelew mpaka ulipie direct cost.na lazima ilipwe kwa kutumia pesa yako ya mfukon even if mkopo unao.
but nikijicheki APA naona mishe zinazingua hivyo basi itakuwa ngumu kwa Mimi kuilipa hiyo ela kwa awamu moja thus why nimeuliza ili niweze kujua kama...
Naomba anijuze tofauti ya maneno haya APA
1.bachelor of science education
2.bachelor of science in education
3.bachelor of science with education
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.