Recent content by DUBE

  1. D

    KUCHELEWA KWA MALIPO YA WANANCHI WA KATA YA NYATWALI WILAYANI BUNDA

    Sizani kama kuna Malipo hapo kila siku wanapigwa hadithi,mara malipo yapo mbioni ,mara hela ipo tiyari Tanapa,Uongo mtupu na hiyo 7% ni haki yao lkn haitatolewa na hii Serekali ya CCM
  2. D

    Mdahalo wa Wagombea Urais Chama cha Mawakili Tanzania Bara (TLS) mwaka 2024

    Mwambukusi anafaaa kuwa President wa TLS
  3. D

    Kwanini wananchi wa Nyatwali hawajalipwa fidia zao na sasa mwaka umepita tangu wafanyiwe tathmini?

    Sio kila mtu lay man wa sheria kama wewe kaka .we kaka hivyo hivyo,anyway nipe kifunga cha sheria kinachosema hivyo tuazie hapo kwanza kwa mtumishi wa Umma.
  4. D

    Kwanini wananchi wa Nyatwali hawajalipwa fidia zao na sasa mwaka umepita tangu wafanyiwe tathmini?

    Jibu lipo nimeweka barua ya DED wa Bunda post yangu imefutwa [emoji23][emoji23]
  5. D

    Fidia ya ardhi Nyatwali Bunda

    Ujui wewe unachoongea brother Anyway acha nikuache hivyo kila la kheri.
  6. D

    Fidia ya ardhi Nyatwali Bunda

    Njoo Nyatwali beach resort ujione uwekezaji wa mamiilon ya pesa.
  7. D

    Fidia ya ardhi Nyatwali Bunda

    Sawa mzee Endelea kuwa hivyo,ila karibu liitle ocavango camp ,huo ukabila ni wenu wengine tunawekeza hela zetu tu mzee.
  8. D

    Fidia ya ardhi Nyatwali Bunda

    Huna taarifa kuna hotel tiyari zipo za kitalii wanafukuzwa,sasa unafukuza mzawa mwenye hotel ili mgeni ajenge hotel?
  9. D

    Fidia ya ardhi Nyatwali Bunda

    Sawa mkuu endelea kunemeka na UTAWALA
  10. D

    Fidia ya ardhi Nyatwali Bunda

    Tembo wamua wangapi?nipe Takwimu mzee,Pia DED kikatiba ana haki ya kuzuia watu kukusanyika,sasa na sheria inasemaje kuhusu nalipo ya fidia?
  11. D

    Fidia ya ardhi Nyatwali Bunda

    Kijiji cha Nyatwali wilayani Bunda kimetwaliwa kwa Mujibu ya Katiba wananchi hao waligoma kuhama lkn Serekali ikasema ni lazima wahame kwa manufaa ya Umma na kupita kila Nyumba na kuweka number za kuwahamisha,na kuwafanyia tathimi kwa nguvu,sasa imepita Mwaka mzima hakuna cha fidia wala nini,na...
  12. D

    DOKEZO Responded Fidia ya Kipunguni A mbona danadana nyingi, TAA tuambieni ukweli

    Sio huko tu kuna kijiji cha Nyatwali huko Bunda wamefanyiwa tathimin lkn malipo ni hadith,wananchi maisha yao yamekua ya ovyo maana hawajui kesho yao.Serekali hawajali kabisa maisha ya watu.
  13. D

    DOKEZO Responded Fidia ya Kipunguni A mbona danadana nyingi, TAA tuambieni ukweli

    Sio hao tu ,kuna kijiji kinaitwa Nyatwali Bunda wao sasa ni mwaka wemefanyiwa Tathimini kulipwa ni hadithi Serekali inanyanyasa sana watu.
  14. D

    DOKEZO Responded Fidia ya Kipunguni A mbona danadana nyingi, TAA tuambieni ukweli

    https://youtu.be/DWPNOsvb1S4?si=Seb3-_PvMev_xzta
  15. D

    DOKEZO Responded Fidia ya Kipunguni A mbona danadana nyingi, TAA tuambieni ukweli

    https://youtu.be/DWPNOsvb1S4?si=Seb3-_PvMev_xzta
Back
Top Bottom