Recent content by Drying machine

  1. D

    Huyu mdada wa Dar atanifelisha michongo

    Hii comment konki ..... Isome Mara 100 utaelewa hii comment Ina maana gani Sent using Jamii Forums mobile app
  2. D

    Huyu mdada wa Dar atanifelisha michongo

    Nmesoma story yako nmeielewa vizuri. Kiukwel najua uko kwenye situation ngumu. Najua wew bado unampenda lakin moyo ndo shida. Ilo ndo tatizo letu moja wanaume uwa tukipenda tunapenda kwel. Ila nakushauri force moyo wako hutoke kwa uyo dada. Laa sivyo Kuna mawili yatakupata either atakuwa mke...
  3. D

    Zijue sifa za mashine za kukausha dagaa

    1: Wataweza kukopesheka bank sababu biashara yao itakuwa ya uhakika. 2: Wataweza kuongeza kipato zaidi ya Sasa. 3: Wataepuka hasara zitokanazo na dagaa kuoza, kuliwa na ndege na wadudu wengine. 4: Dagaa watakuwa na ubora wa Hali ya juu na kuwawezesha wavuvi kuuza dagaa wao ata soko la ulaya. 5...
Back
Top Bottom