Ni vizuri mtoa mada ukajua nini lengo la UKAWA na wananchi kwa ujumla. Sisi wenye uchungu wa ukweli na nchi hii ya neema nyingi tunakushauri ujue kuwa swala siyo mtu bali ni kuweza kufanya mageuzi yenye tija kwa faida ya kila mwananchi. Lowasa anakubalika na dunia nzima. Tumpe nafasi atupe...
Wewe una sifa zote. Nenda physically Machame na barua yako umwone mkuu wa chuo atakupa maelekezo. La kama u mbali tuma kwa posta. Lazima utapata kwa cheti cha fm 4. Lakini ujue ada ni zaidi ya m 2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.