Bima ya afya si kinga ya maradhi
Sera ijikite kwenye kuzuia maradhi si kutibu
Watanzania wale chakula bora, wajenge vyoo wafundishwe kunawa mikono , kufanyaazoezi kuwa na mawazo chanya nkHOSPITALI SI MAHALI PA KUJENGA AFYA BALI NI SEHEMMU YA KUKARABATI SIHA
Sent from my SM-J200F using...
Mie nafikiri chama kinaota ikulu ni sharti kiwe na mkakati Wa kuhamasisha wat u Kuelewa hali halisi ya matatizo yetu na njia sahihi na ngumu yamapambano Chama Chenye Kuongozwa na matakwa ya Mtu mmoja bila kishirikisha mawazo ya wengi chama hicho kitawaburuza namtajuta vyama viongozwe...
Funga kulax2kwa wiki Fanya mazoezi magumu na mepesi kula unaposikia njaa usijaze tumbo chakula acha nafasi ya hewa na maji fanya usafi wamwili (body cleasing)
Vyama vya siasa badirikeni jengeni madaraja ya zege kati ya wenye vyama na viongozi nina hakika upepo mkali unaovuma ulaya na marekani Mwisho wake ni dunia nzima Msipo jipanga mwe
Tofauti ya gongo na pombe za kizungu ni kodi bangi ubaya wake ni kuiiiivuta lakini ni fibre crop twaweza kupata nyuzi kwa ajili ya nguo karatasi nk bangi ni chakula bora cha mifugo zao LA mafuta na tiba nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.