jeshi la iran wote hawana uvungu na wanapigana na super power, uvungu wa nyayo haina maana yoyote mataifa makubwa hawaangalii upuzi huo wanakupima akili na afya tosha
hizo ni cacain za mtanzani 100% sasa hivi nchi hii unga unaingia sana kuliko awamu zote na kamati ya madawa ya kulevya inakamata bangi na mirungi kesi ngapi za madawa ya kulevya hazijulikani hatima yake, kamati ya madawa ya kulevya ivunjwe watu washughulikiwe viongozi wengi wamo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.