Recent content by Drift

  1. D

    Kuna uhusiano wowote wa Waziri Jafo kuwa mwislamu na hasira kali aliyopata hadi kumsimamisha mtumishi mlevi kazi?

    Mmawia mi nadhani Waziri kafanya vizuri kuchukua hatua faster vinginevyo ingeweza kuleta vurugu sana iwapo wenye imani na Kitabu chao wangeachiwa kuchukua hatua, na wala haya ya kuwa alilewa yasingejulikana zaidi ya jambo hili kukuwa na hata kuwa ni wa nchi nchi nzima.. Halafu huyo hajafukuzwa...
  2. D

    Kuna uhusiano wowote wa Waziri Jafo kuwa mwislamu na hasira kali aliyopata hadi kumsimamisha mtumishi mlevi kazi?

    Hajafukuzwa kazi bali amesimamishwa ili uchunguzi ufanyike Sent using Jamii Forums mobile app
  3. D

    Kuna uhusiano wowote wa Waziri Jafo kuwa mwislamu na hasira kali aliyopata hadi kumsimamisha mtumishi mlevi kazi?

    Alichofanya Waziri ni sahihi kabisa, kwanza tuelewe hajafutwa kazi ila amesimamishwa ili Mamlaka za juu katika eneo lake la kazi zichunguze na kumchukulia hatua za kinidhamu sitahiki. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. D

    Je, Roma Mkatoliki anaandaliwa kuwa shahidi wa ICC?

    ICC..!! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. D

    Tusipoandika historia yetu tusilaumu kuandikiwa, Mapinduzi ya Zanzibar 1964

    Well said Mkuu. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. D

    Shule za Msingi na Sekondari za binafsi kuwa na akaunti mbili za kulipia ada na michango mingine TRA iziangalie kwa jicho la tatu kodi zetu

    Ni utaratibu wa kawaida tu Kampuni au taasisi yoyote kuwa na account zaidi ya moja..ni jambo ambalo liko wazi tu katika uendeshaji wa taasisi yoyote. Hakuna namna yoyote ambayo account yaweza fichwa isijulikane, Tra hata benki wanazifikia pia, hivyo account yoyote haiko mafichoni kwa tra, kwa...
  7. D

    Baraza la Mawaziri 2020 linamuhitaji Dr Slaa, karibu Kawe Dr wa ukweli

    Hayo yalishajibiwa na yeye mwenyewe Mbona Mkuu.. Yule anatufaa sana akiwa Chama chochote kile. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. D

    Baraza la Mawaziri 2020 linamuhitaji Dr Slaa, karibu Kawe Dr wa ukweli

    Well said Mkuu. Dr Slaa tunammis sana kwa aina ya siasa zake.. Kweli ni chachu ya siasa za amsha za bongo.. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. D

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Kero yangu ni katika barabara itokayo Zakhem Mbagala kwenda Mbagala Kuu ipitayo kibonde maji. KERO: Kipande cha barabara kinachoanzia kibonde maji hadi Kichemchem hakijawekwa lami ina Mashimo Mashimo makubwa na mengi MADHARA:- -Magari yanaharibikaMara kwa Mara - muda mwingi hupotea sana...
  10. D

    Hatimaye pumzi imekata, nilijua tu

    Well said Mkuu.. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. D

    Waziri Selemani Jafo amsema Mkurugenzi wa SCOL Building Contractors Limited hadi akaanguka na kuzimia

    Lazima utaanguka tu kwa Yale waliyoyasema: 1. Huku unadaiwa TRA hela unayolipwa inakatwa deni na Tra juu kwa. Juu 2. Huku kazi iko mbioni kunyang'anywa muda uliopewa hautoshi kumaliza 3. Wafanyakazi wanahitaji mishahara yao kama kawaida mambo ya madeni ya kampeni hayawahusu.. UTAZIMIA TU..
  12. D

    Kwanini ATCL wahudumu wa Ndege ni wazungu, Wachina na Wakorea?

    Kibiashara binafsi sioni tatizo Labda kama ni route za ndani tu..
  13. D

    Utoaji wa fomu ulivyotupeleka 'lockup' kwa masaa kadhaa

    Siungi mkono huu uhuni unaoendelea Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na hasa hili la ama kutowapa fomu wagombea wenye sifa zote wa baadhi ya vyama au kutokuwepo ofisini kupokea fomu za wagombea wa baadhi ya vyama. Hii picha inatuchafua sana, na umuhimu wa uchaguzi unakuwa haupo tena, kwa...
  14. D

    Tanzania yaingia ‘Top Ten’ mazingira bora uwekezaji Afrika

    Ni kweli kabisa na ni halali kushika nafasi hiyo, kwa hatua za makusudi zilizochukuliwa za kuondoa kero katika uwekezaji Tanzania..
  15. D

    GE2020 Siasa za Mbeya: Hapa Mary Mwanjelwa, Huku Tulia Ackson, kule MC Mwakipesile ndani ya CCM, CHADEMA J. Mbilinyi a.k.a SUGU

    Umefika wakati Wanambeya kubadilisha mgombea toka chama chochote na kwa hawa uliowataja basi DR. TULIA anaweza kufaa kwa Maendeleo ya wana Mbeya. Huyo mtu usipime ni Mashine nyingine serikalini kwa sisi tuliobahatika kufanya nae kazi. Tujivunie kwa sasa kuwa tutampata MTU mwingine mwenye maono...
Back
Top Bottom