Busara ilishatumika, na maamuzi yalishachukuliwa... Kinachofanyika sasa ni kutekeleza maamizi ya busara yaliyofanywa na CC, kumvua vyeo na ikiwezekana kumfuta kabisa uanachama.
Pasco kaka nyinyi na wengine wengi ni mamluki wa mtu mmoja mmoja ktk chama, chama hakijengwi na mtu mmoja bali sera...
Naunga mkono hoja kwa nguvu kabisa ila hilo la kunsamehe sitakua mnafiki sio raia wakusamehewa hata kidogo, hata kujaribu kumsamehe nitakuwa nawalakini akilini mwangu. Ukweli ukipatikana ahukumiwe mara moja... Huyu ni muuaji...
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
Sioni kiunganishi cha uprofesa wake na kitendo alichochenda... Anyang'anywe asinyang'anywe haipunguzi au kuondoa aibu hiyo aliyofanya mtu anaeitwa profesa... Ukiangalia msg alizokua anaandika kumtisha huyo mtoto ni aibu tupu. Kinachoweza kufanyika ni kumtoa kwenye alumni ya chuo ila sio kumvua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.