Nchi Iko swaaafi kabisa na ndo kwanza neema zinazidi kufunguka tu mafala nyie. Mlio kwenye laana ni wewe tu na mumeo. Mfumo hauwezi kuwachekea washenzi waliopangwa kuharibu Mali za umma, kujua askari wetu, kuharibu Mali za watu flani (kama mlivyowaelekeza) n.k
Na wasichokijua hao washenzi ni kuwa ile haikuwa Samia, Bali ni mfumo thabiti wa kiulinzi wa nchi yetu ndiyo uliozuia ujinga ujinga ule. Hata kama Raisi angekuwa bwana wao robo...oops, sorry, tundu lissu Bado wahuni wale wangeshughulikiwa na mfumo kama walivyoshughulikiwa siku ile.
Kwakuwa...
Ningeshangaa kama asingetajwa kwa ubaya Jk. Kzee huyu Mungu anamuweka kwa ajili ya mengi sana......kutufunza wanadamu kuhusu uvumilivu, tabia za binadamu na maisha kwa ujumla.
Hahahahaha!
Nyumbu wa lissu bwana, Bado Kuna meeeengi ya kujifunza kuhusu utawala na watu; wajinga na wapumbavu wakubwa nyie! Mpaka Karne ya Leo mnafikiri kukariri na kupiga makelele meeeengi mpaka kipwenene kinatoka ndiyo kujua kuongoza?
Samia si zaidi ya lissu na heche put together, mabwege...
Unaweza kukuta huyu nae ni mke wa mtu eti!🤣🤣🤣
Ukweli ni kuwa PhDs zimepigwa knock out na 'darasa la saba'. Mama amekuja mjanja mno kutoijgoa kwenye mtego wa TEC.........kwa kifupi TEC walijikuta wamenasa wenyewe kwenye mtego wao. Bwaaaaaahahahahahahahaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.