Recent content by Dr wa Manesi

  1. D

    Padre Proper Kessy: Wanaofanya kazi Serikalini wanakaa na siri nzito ambazo wanajua wakizitoa zitaleta ukombozi

    Atawasaidia nyie kwanza kuondokana na pepo la wivu na husda
  2. D

    Padre Proper Kessy: Wanaofanya kazi Serikalini wanakaa na siri nzito ambazo wanajua wakizitoa zitaleta ukombozi

    Nchi Iko swaaafi kabisa na ndo kwanza neema zinazidi kufunguka tu mafala nyie. Mlio kwenye laana ni wewe tu na mumeo. Mfumo hauwezi kuwachekea washenzi waliopangwa kuharibu Mali za umma, kujua askari wetu, kuharibu Mali za watu flani (kama mlivyowaelekeza) n.k
  3. D

    Wengi hawapendi JPM akumbukwe kwa Uzuri: lakini atabaki kuwa chaguo la watanzania wengi

    Na wasichokijua hao washenzi ni kuwa ile haikuwa Samia, Bali ni mfumo thabiti wa kiulinzi wa nchi yetu ndiyo uliozuia ujinga ujinga ule. Hata kama Raisi angekuwa bwana wao robo...oops, sorry, tundu lissu Bado wahuni wale wangeshughulikiwa na mfumo kama walivyoshughulikiwa siku ile. Kwakuwa...
  4. D

    Wengi hawapendi JPM akumbukwe kwa Uzuri: lakini atabaki kuwa chaguo la watanzania wengi

    Kama kawa, haters wa Samia katika mihangaiko!!🤣🤣🤣🤣
  5. D

    Padre Proper Kessy: Wanaofanya kazi Serikalini wanakaa na siri nzito ambazo wanajua wakizitoa zitaleta ukombozi

    Hahahahaha! Halafu wanaume kumshupalia mwanamke kiukweli haipendezi kabisa kiasili. Naona mijanaume ya kikatoliki imemkomalia Samia alfajiri, asubuhi, mchana, alasiri, jioni, usiku Hadi usiku wa manane........sijui ndo mishoga yenyewe hii?!!!!!
  6. D

    TANZIA Pumzika kwa amani Profesa Costa Ricky Mahalu!

    Ningeshangaa kama asingetajwa kwa ubaya Jk. Kzee huyu Mungu anamuweka kwa ajili ya mengi sana......kutufunza wanadamu kuhusu uvumilivu, tabia za binadamu na maisha kwa ujumla.
  7. D

    Jaji Mstaafu Chocha alionya miaka 9 iliyopita kusema: "Tundu Lissu si mtu wa kawaida". Leo Taifa linashuhudia kutimia kwa onyo hili

    Hahahahaha! Nyumbu wa lissu bwana, Bado Kuna meeeengi ya kujifunza kuhusu utawala na watu; wajinga na wapumbavu wakubwa nyie! Mpaka Karne ya Leo mnafikiri kukariri na kupiga makelele meeeengi mpaka kipwenene kinatoka ndiyo kujua kuongoza? Samia si zaidi ya lissu na heche put together, mabwege...
  8. D

    PhDs zimechemka; Marehemu amedhalilishwa; wamchukiae ameibuka mshindi tena!!

    Nendeni mkawaimbie wajinga wajinga wenu huko vigangoni, si watu kama Mimi bwege we
  9. D

    Tume ya Chande imekataliwa karibu na Jumuiya zote za kimataifa, hakuna atakayeamini matokeo yake

    Shauri yenu, si tunachojua ni kwamba tume iliundwa, ipo na inafanya kazi.
  10. D

    PhDs zimechemka; Marehemu amedhalilishwa; wamchukiae ameibuka mshindi tena!!

    Unaweza kukuta huyu nae ni mke wa mtu eti!🤣🤣🤣 Ukweli ni kuwa PhDs zimepigwa knock out na 'darasa la saba'. Mama amekuja mjanja mno kutoijgoa kwenye mtego wa TEC.........kwa kifupi TEC walijikuta wamenasa wenyewe kwenye mtego wao. Bwaaaaaahahahahahahahaaaa
  11. D

    PhDs zimechemka; Marehemu amedhalilishwa; wamchukiae ameibuka mshindi tena!!

    Sindano imewaingia nyie haters wa Samia mpaka mnaharibu shughuli zenu muhimu.
Back
Top Bottom