Sawa, tupia basi mikataba mkuu kama ulivyoombwa ufanye. Tunaomba data za mikataba ya ulaya na marekani kamanda wetu Ili tuone hapo tunapopigwa. Karibu sana mjuaji......
Poleni haters; hakika mama Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, anawapelekesha Hadi Raha. Kazi yenu Sasa ni hii tu, kukata miuno kwa mdundo atakaoamua kupiga🤣🤣🤣
Ndo hapo mlipoambiwa leteni hiyo mikataba tuione, tuilinganishe na yetu ambayo mnakesha mkisema tumepigwa. Maana kwa maelezo yenu inaonekana mnaifahamu vizuri sana.
Kumbe kelele zote za hilo jinga base yake ni maneno ya huyo mkongwe aliyeshindwa maisha?!!!!🤣🤣🤣 Mi nilifikiri Kuna chochote anachokijua kuhusu hiyo mikataba. Mkuu kapotezee hako kanyumbu, katakushusha uwezo wako wa kufikiri.
Upo makini mkuu, kongole kwako! Hii minyumbu inasumbuliwa sana chuki, Hali inayofanya iwe rahisi kudanganywa tu na kukariri chochote wanachomezeshwa malofa hao.
Taifa limekuwa imara, lipo imara na litaendelea kuwa imara dhidi ya wenye Nia ya kuharibu nchi kama walivyotaka kufanya okt 29, 2025. Naamini serikali ipo imara na tayari kulinda raia wake na Mali zao.
Jaribuni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.