mkuu nashukuru sana kwa kunitangulia kuuliza hili swali kwa wajumbe wetu wazoefu kidogo kwenye haya mambo..hilo tatizo ni kubwa sana kwangu utafikiri ulikuwa na mm wakati unaweka kwenye jamvi.wakuu tunaomba mawazo yenu yenye hekima kunusuru mahusiano yetu.
Hata kama ukijua tabia zake au zao kama we unavyotaka,for sure the two of you staying together you will never be perfect together cha maana ni kuvumiliana....kama una nia na ki2 broo we beba usisikilize hivi vya nje sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.