Recent content by Dr.Nyamka

  1. D

    jumuia ya Waislam jijini Arusha yatangaza vita na mkurugenzi wa jiji

    hyo lugha sio nzuri uliyotumia kuandika headline yako,inachochea vurugu kama umeshindwa kuripoti vizuri it is better you keep silence
  2. D

    Dr. Slaa: Serikali tatu si pendekezo la CHADEMA

    Slaa ni mnafiki tu! wamezunguka nchi nzima sio kutoa elimu ya katiba kwa wananchi bali ni kuwashawishi wananchi wafate itikadi ya chama chao leo asitudanganye kuwa wazo la serikali tatu sio la chadema huo ni uongo
  3. D

    Wito kwa Bunge la Katiba: Kura iwe ya Siri kwasababu Hakuna aliyetumwa na Watu Kuwawakilisha!

    Semea nafsi yako sio wananchi wote wanataka kura ya siri mimi binafsi kura ya siri sioni kama ina mantik yoyote ktk kupitisha katiba hao wajumbe walioko bungeni kila mtu ana interest zake sio ccm tu hata cdm hao mnaowasikiliza hakuna anaetafuta katiba ya wananchi pale wote wanafiki tu! lakini...
  4. D

    Kadi za CHADEMA zagombaniwa chuoni

    anae gombania kadi ya cdm ni msomi asiyejitambua poleni wana SAUT tbr kwa kutojitambua nafasi mliopo
Back
Top Bottom