Habari zenu waungwana, natumaini mko poa na mnaendelea vizuri sana na majukumu na mapumziko ya mwisho wa mwaka. Kwa kuwa leo ni siku ya mapumziko nimaemua kuitumia kuwaandikia na kuwahimiza wajumbe wa kamati kuu ya chadema wasifanye makosa.
Kwanza kabisa mimi Mbowe na Lissu wote ninawaheshimu...
CCM Chadema ACT wote lao moja, kujinufaisha wao kama wao. Wala tusitegemee mwanasiasa yoyote wa kuleta mabadiliko. Unless atokee jenerali wa jw mmoja kichaa afanye mapinduzi jeshi libebe nchi.
Nimeona Gerson Msigwa anakanusha. Hivi wewe baba umerudishwa kwenye hicho kitengo ili useme uongo??? Hauoni aibu dunia ya sasa unasema uongo kila kitu kipo wazi mtandaoni Unasema Tanzania haijazuiwa wakati Spreadsheet ipo inasambaa mitandaoni. SHAME ON YOU
Safi kabisa. Hii niishara haya mandege mabovu ndio maana kila siku safari zina delay. Treni za sgr pancha, ATCL pancha, kitu ambachoa wanaweza kukifanya kwa ufanisi wa asilimia 99 ni kuiba kura.
Chadema itapasuka kama Mbowe ataamua kugombea. Hili nakuhakikishia sababu Team Mbowe wana siasa chafu za kuchafuana, Mbowe akigomea watamchafua na watamchezea rafu zote(Kumbuka kuna maccm ndani ya chadema ambao lengo lao ni kuharibu)
Ccm wapo everywhere hata kwa Team Mbowe kuna maccm wakina Martin Masese, kazi ya ccm kwenye huu uchaguzi ni kuvuruga umoja ili chadema wapasuke vipande vipande.
Wa kaskazini wabinafsi sana. HATUWATAKI.
Wa kaskazini wabinafsi sana. HATUWATAKI.
Wa kaskazini wabinafsi sana. HATUWATAKI.
Wa kaskazini wabinafsi sana. HATUWATAKI.
Wa kaskazini wabinafsi sana. HATUWATAKI.
Wa kaskazini wabinafsi sana. HATUWATAKI.
Wa kaskazini wabinafsi sana. HATUWATAKI.
Wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.