Recent content by Dr Ndlozi

  1. Dr Ndlozi

    PreGE2025 Sababu za msingi na makini kwa nini Chadema tunamuhitaji zaidi Mbowe

    Habari zenu waungwana, natumaini mko poa na mnaendelea vizuri sana na majukumu na mapumziko ya mwisho wa mwaka. Kwa kuwa leo ni siku ya mapumziko nimaemua kuitumia kuwaandikia na kuwahimiza wajumbe wa kamati kuu ya chadema wasifanye makosa. Kwanza kabisa mimi Mbowe na Lissu wote ninawaheshimu...
  2. Dr Ndlozi

    Intelligence ya ccm iko hoi bin taaban.. Ya CHADEMA iko above next level..

    Intelijensia ya ccm imeshindwa kujua kuwa Msigwa ni pandikizi la chadema ndani ya ccm.
  3. Dr Ndlozi

    YANGA AKISHINDA LEO NIITWE AISHA MIUNO

    Duuh kazi kweli kweli
  4. Dr Ndlozi

    Ujumbe huu wa Dkt Tulia una maana gani na umemlenga nani?

    Wataalamu wa akili wamsaidie huyo bibi hayupo sawa. Amenifundisha sheria Udsm huko nyuma hakuwa hivyo
  5. Dr Ndlozi

    PreGE2025 Mwenyekiti CHADEMA Mbeya: Tutamlazimisha Mbowe agombee Uenyekiti

    CCM Chadema ACT wote lao moja, kujinufaisha wao kama wao. Wala tusitegemee mwanasiasa yoyote wa kuleta mabadiliko. Unless atokee jenerali wa jw mmoja kichaa afanye mapinduzi jeshi libebe nchi.
  6. Dr Ndlozi

    Air Tanzania yapigwa Marufuku kufanya safari zake Katika nchi 28 za Umoja wa Ulaya kwasababu za Kiusalama

    Nimeona Gerson Msigwa anakanusha. Hivi wewe baba umerudishwa kwenye hicho kitengo ili useme uongo??? Hauoni aibu dunia ya sasa unasema uongo kila kitu kipo wazi mtandaoni Unasema Tanzania haijazuiwa wakati Spreadsheet ipo inasambaa mitandaoni. SHAME ON YOU
  7. Dr Ndlozi

    Muungano wa Ulaya umeachia orodha iliyoimarishwa ya mashirika ya ndege yanayodhaniwa kuwa hatari, na kuyakataza kufanya kazi ndani ya anga la EU

    Safi kabisa. Hii niishara haya mandege mabovu ndio maana kila siku safari zina delay. Treni za sgr pancha, ATCL pancha, kitu ambachoa wanaweza kukifanya kwa ufanisi wa asilimia 99 ni kuiba kura.
  8. Dr Ndlozi

    PreGE2025 Lissu aendelea kupanga safu yake kwa ustadi mkubwa. Anaumaliza uchaguzi mapema sana

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Muue huyo
  9. Dr Ndlozi

    PreGE2025 Lissu aendelea kupanga safu yake kwa ustadi mkubwa. Anaumaliza uchaguzi mapema sana

    Hii ngoma bila mzee mtei kuingilia kati jahazi linazama
  10. Dr Ndlozi

    Ndege ya ATCL Yapasuka Kioo; yazuiwa kuruka KIA

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  11. Dr Ndlozi

    PreGE2025 Lissu aendelea kupanga safu yake kwa ustadi mkubwa. Anaumaliza uchaguzi mapema sana

    Chadema itapasuka kama Mbowe ataamua kugombea. Hili nakuhakikishia sababu Team Mbowe wana siasa chafu za kuchafuana, Mbowe akigomea watamchafua na watamchezea rafu zote(Kumbuka kuna maccm ndani ya chadema ambao lengo lao ni kuharibu)
  12. Dr Ndlozi

    PreGE2025 Lissu aendelea kupanga safu yake kwa ustadi mkubwa. Anaumaliza uchaguzi mapema sana

    Ccm wapo everywhere hata kwa Team Mbowe kuna maccm wakina Martin Masese, kazi ya ccm kwenye huu uchaguzi ni kuvuruga umoja ili chadema wapasuke vipande vipande.
  13. Dr Ndlozi

    Kauli ya UVCCM Bagamoyo kuwa rais hatatoka kaskazini vipi kwa Lowassa, Migiro na Sumaye?

    Wa kaskazini wabinafsi sana. HATUWATAKI. Wa kaskazini wabinafsi sana. HATUWATAKI. Wa kaskazini wabinafsi sana. HATUWATAKI. Wa kaskazini wabinafsi sana. HATUWATAKI. Wa kaskazini wabinafsi sana. HATUWATAKI. Wa kaskazini wabinafsi sana. HATUWATAKI. Wa kaskazini wabinafsi sana. HATUWATAKI. Wa...
Back
Top Bottom