Recent content by Dr Michael

  1. D

    Yajue mapungufu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977

    UCHAMBUZI WA KISHERIA: MADHAIFU YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, 1977 KATIKA MUKTADHA WA MAHITAJI YA SASA Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 ni chombo kikuu cha kisheria kinachoongoza uendeshaji wa dola. Hata hivyo, kutokana na mageuzi ya kijamii, kisiasa na...
  2. D

    Taarifa kwa baraza la walei jimbo kuu la Dar es salaam

    Tumsifu Yesu Kristu viongozi wangu, Naandika makala hii nikiwa nawakilisha kundi kubwa la waumini wa kanisa katoliki ambao tumechoka kuona kanisa letu linadhalilishwa na kufanywa kama eneo la maigizo ya uchafu unaoendelea hivi sasa. Hivyo, tunawaomba viongozi wetu kwa haraka sana mtoe kauli ya...
  3. D

    Tahadhari kubwa kwa serikali ya awamu ya tano juu ya kipindupindu

    Natambua mapambano juu ya kipindupindu yamepamba moto sana na wataalamu wa afya wapo katika vita kali kuhakikisha kuwa kipindupindu kinatokomea kabsa katika jamii yetu. Tunatambua kipindupindu kimedumu kwa muda wa miezi 4 mpaka sasa na hii ni kutokana na SIASA kuingia ndani ya fani ya afya...
  4. D

    Kipundupindu kishatumika basi kimalizeni nyie wanasiasa

    wanasiasa na baadhi ya watendaji wamekitumia kipindupindu kisiasa wakati wa uchaguzi kwa sasa tunawaomba wakimalize maana tunaumia sisi watanzania katika kutumia kodi zetu kutibu wagonjwa wa ugonjwa MALIZENI HILI MLILOLIANZISHA
  5. D

    Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

    tumepeleka maskini ikulu leo wanatajirisha familia zao angalia leo ridhiwani hafanani na makongoro kabsa safari hii tunapeleka tajiri lowassa
  6. D

    Kashfa ya Richmond: Lowassa, Karamagi na Dkt. Msabaha Wajiuzulu

    yaan la maana hapa tushajua kuwa mamlaka ya juu ya waziri mkuu ndo inahusika na ndo imepiga hela kwa maana hiyo watu wametajirisha familia zao na marafiki zao sasa basi lowassa kashatubu n tumemwelewa sana na amesamehewa dhambi zake za kujichanganya na misisiem ambyo haina agenda za kitaifa...
  7. D

    Kwanini Tutampigia Kura Magufuli na Kupata Ushindi Wa Kishindo Oktoba 25!!

    kama unazo akili sawa sawa na zinakutosha kweli najua hautoendelea kuandika tena ila kama zinakubana utaendalea sasa hapo kipimo cha mjinga utakijua
  8. D

    New new new read

    kuna uchafu mwingi unakuja juu ya kuupa ushindi CCM
  9. D

    New new new read

    wapo na washaanza kuzikusanya amini ninachokwambia
  10. D

    New new new read

    hili swala la watumishi wa majeshi yetu kupewa amri ya kukusanya shahada zao za kupigia kura linatoa taswira gani katika uchaguzi huu wa oct2015???? uchaguzi ufanyike kwa haki na usawa na sio haya manyau nyau yanayoanza mapema kama ukishinda ushinde kwa haki na sio ushinde kwa mlango wa nyuma.
  11. D

    Kwa hali hii ukawa kuweni makini sana

    jamani hizi ni taarifa za ndani kabsa hili swala la watumishi wa majeshi kupewa amri kutoka mamlaka ya juu kukusanya shahada zao za kupigia kura linaleta taswira gani katika uchaguzi mkuu wa oct 2015. tuweni makini na serikali inapanga kufanya kitu katika uchaguzi huu ujao.
  12. D

    Lowassa ni Fisadi na atabaki kuwa fisadi

    hahahahahahahahahahaha ATAPIGIWA KURA TU
  13. D

    Lowassa ni Fisadi na atabaki kuwa fisadi

    nendeni mahakamani sasa mkamshitaki maana ushahid wa ufisadi wake mnao mahakama ikidhibitisha hilo na mm ntaamini kweli ni fisadi.
  14. D

    Kutoka NEC/Lumumba: John Magufuli kuchukua fomu ya kugombea Urais wa JMT

    makapi yanawawewesesha mnaota lowasa tu
  15. D

    Kutoka NEC/Lumumba: John Magufuli kuchukua fomu ya kugombea Urais wa JMT

    maana yake mmechokwa na hamna jipya
Back
Top Bottom