Recent content by Dr. masamaki

  1. D

    Yanayojiri bungeni: Tarehe 20 Machi, 2014

    Summury: kauli iliyo tolewa na mwenyekiti wa bunge maalumu siku kadha zilizo pita kuwa wachache wanao upinga muungano watashughulikiwa imechuku sura mpya baada ya mchungaji mtikila kutoa msimamo wake kwenye semina inayo endelea bungeni kwa kutoa tahadhari kuwa watanganyika ml48 wenye kutaka...
  2. D

    Yanayojiri bungeni: Tarehe 20 Machi, 2014

    Tutashughullikiwa kwa njia ipi?
  3. D

    Yanayojiri bungeni: Tarehe 20 Machi, 2014

    Tumia akili ya kawaida tu! Kupitia almashauri ya kichwa chako, hakuna aliye kurupuka mgeni hakuweza kutumia lugha yetu kutoa mtililiko sahihi wa mawazo yake, hivyo utaratibu unaotumika ni sahihi
  4. D

    Warioba; Hasira zako usizitumie kuibomoa nchi

    Niukweli usio pingika kuwa mfumo wa serikali tatu kama ulivyo wasilishwa katika bunge maalumu kwenye rasimu ya katiba na Mh. Joseph Sinde Warioba hautekelezeki kutokana na kukinzana kwa mawazo katika waraka huo mmoja kwa mfano mambo kama afya, elimu na mengine mengi yametajwa kua simambo ya...
  5. D

    Prof Shivji Ampa Darasa Mzee Warioba, wajumbe wa bunge la katiba someni ili msiyumbe...

    Niukweli usio pingika kuwa mfumo wa serikali tatu kama ulivyo wasilishwa katika bunge maalumu kwenye rasimu ya katiba na Mh. Joseph Sinde Warioba hautekelezeki kutokana na kukinzana kwa mawazo katika waraka huo mmoja, mambo kama afya, elimu na mengine mengi yametajwa kua simambo ya muungano...
  6. D

    Kinachojiri bungeni leo Ijumaa tarehe 14 Machi 2014

    Mzee umesahau kuwa mh. Lowasa aliwahi kua waziri mkuu
  7. D

    RAI: 2015 ni kati ya Lowassa, Zitto vinginevyo vyama vitayumba

    Nafikiri watanza hatujawahi wala hatupendi kuona kiongozi akidanji ikulu (angalieni afya za hao viongozi mnao wapendekeza)
  8. D

    TBC1 LIVE: Wazanzibar WANAPENDA MUUNGANO.

    Wazanzibari wengi bila ya kujali itikadi za vyama vyoa hawaungi mkono swala la muungano, muungano uliopo ni jitihada za viongozi wa ngazi za juu hususan chama!!!
  9. D

    Ridhiwani kugombea ubunge Chalinze

    Kweli brother
  10. D

    Angalia Bunge la Katiba TBC na Star Tv

    Mchakato unaendele na swala la posho limepoteza umaarufu mjengoni kutokana na wajumbe kuto endelea kulizungumzia lakini cha ajabu ni kwamba watu wachache wenye malengo yasio ya heri kwa nchi walio nje ya bunge wamelifanya zengwe na kuweka hali ya uchonganishi kati ya raia na serikali
  11. D

    Angalia Bunge la Katiba TBC na Star Tv

    Kwakua kodi za wananchi na rasilimali zao ndizo zinazo tumika kama posho za wabunge maalum kutumia lugha yoyote ya kupuuza mchakato huo wenye manufaa kwa kizazi hiki na kijacho ni uchochezi.
Back
Top Bottom