Nyie wote mnaongea vitu msivyovijua, unajua mara zote wafanyabiashara wanakusudia to minimise cost and maximise proft. Hata gharama zote za Diesel ingekuwa 1000 bado wangeuza bei wanayotaka wao. Acheni kupumbazika nyie ni wakati wakuwazomea hawa wafanyabiashara
Hivi vyote ni vichekesho, hivi tuliowapa kura zetu wapo au kwa sababu wao wanakula mafuta ya ubwete! Nafikiri kikwete u safi ila tamaa za wafanyabiashara zimetufikisha hapa. Wabunge wanaugua sleepness. Basi waruhusu mafuta ya boari kuu kuuzwa kwa raia kama wanashindwa kuwazibiti wafanyabiashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.