Recent content by Dr Eli Isaac

  1. Dr Eli Isaac

    JamiiForums Tanzania Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

    Hakuna cha ajabu Mungu kumuua Magufuli. Wewe utauwa na Shetani? Suala la Kabudi kusema ilikuwa mbinu ya mazungumzo ni KICHAA pekee ataanza kuponda. Sasa mazungumzo si yalifanyika na Acacia haipo na makubaliano mapya yamefanyika?The Fact kwamba mbinu ilifanikiwa inatosha. As for Samia, mie...
  2. Dr Eli Isaac

    JamiiForums Tanzania Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

    Mungu kuamua si jambo jipya. Wewe mwenyewe midudu mila vinyesi inakusubiri uzikwe ili ipate chakula. Trilioni 1.5 hakuiba, wewe msafi mwenzako mchafu kaenda wewe umaskini wako wa fikra na mali ungali uko palepale. Labda huyu Mama yako mnayemuita Mtoto wa Mwinyi atakusaidia. Magufuli mtamsema...
  3. Dr Eli Isaac

    JamiiForums Tanzania Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

    Vitu vingine hata msimsifu Mungu. Magufuli kaenda na wewe kiwango cha umaskini wa mali na fikra bado kingali palepale. Labda huyu mnayemwita Mtoto wa Mwinyi(Samia) ndiye mkombozi au sio? Wajinga kweli nyie.
  4. Dr Eli Isaac

    JamiiForums Tanzania Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

    Na wewe Malaika unaelekea kuwa marehemu. Midudu ya chooni inakusubiri. Maskini kama nyie hamuishiwi maneno. Mara Huyu mtoto wa huyu mara kaiba Trilioni 1.5 mara kaua watu. Na njia aliyopita na wewe inakusibiri Malaika Mtakatifu.
  5. Dr Eli Isaac

    JamiiForums Tanzania Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

    Awe katuacha mataa au kwenye bypass, wewe si Mungu. Ni marehemu mtarajiwa. Muda si mrefu utakwenda kufanya mazoezi ya kifo(kulala). [emoji1549][emoji1549][emoji1549]
  6. Dr Eli Isaac

    JamiiForums Tanzania Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

    Iwe kulikuwa na ugomvi au haukuwepo na iwe aliuamua au hakuuamua. Wewe na wewe ni marehemu mtarajiwa. Atakayetoa hukumu ya mwisho ni Mungu.
  7. Dr Eli Isaac

    JamiiForums Tanzania Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

    Wewe si Mungu kuamua kama atasamehewa au la. Wewe ni marehemu mtarajiwa, ukilala ndo unafanya mazoezi ya kufa. Kila siku kukipambazuka unalikaribia kaburi. Wewe si Mungu bali ni lofa kama malofa wengine. Huna Mamlaka ya kusamehe. Akisamehewa dhambi zake basi chuki zako ni bure tu...
  8. Dr Eli Isaac

    JamiiForums Tanzania Tozo zaisababishia Vodacom hasara ya Tsh. Bilioni 103.8

    Tigo HAIPO kwenye Soko la Hisa. Haifungwi KISHERIA kusema WAZIWAZI. Vodacom wapo.Wanafungwa Kisheria. LAKINI, Naunga mkono hoja yako kuu kwamba hii ni KUTUMIA TOZO kama EXCUSE. Unapopanga kukusanya Trilioni 1.06 halafu ukakusanya Pungufu kwa Bilioni 103, maana yake ni kwamba VIHATARISHI...
  9. Dr Eli Isaac

    JamiiForums Tanzania Tukatae tozo na tusemee tozo kwa namna yetu wenyewe, wenye nchi ni wananchi

    Suala la TOZO za MIAMALA(na hata TOZO katika Nyanja nyingine za KiUchumi) tulianza kulisemea kwa UKALI wa hali ya juu sisi wananchi. Ni jambo jema, liendelee. Nachotaka kutahadharisha ni tabia ya sisi Wananchi kusahau Nguvu yetu, hata pale ambapo matumizi yake hayatatugharimu chochote, na...
  10. Dr Eli Isaac

    JamiiForums Tanzania Bei za mafuta zinaendelea kupanda, ruzuku haijasaidia sana, hatua zinazochukuliwa haziwiani na ukali wa tatizo

    Kwenu Rais Samia, VP Mpango, Mwigulu, Mafuru, Benki Kuu, Makamba na Mulamula. Kwa Ufupi, Serikali Mlishauriwa na Wabunge kuhusu namna ya kukabiliana na suala la bei za Mafuta kupanda. Mkaambiwa:- 1. Wekeni Utaratibu wa Kununua Oil Futures Options kama Hedging Mechanisms za ku-lock in Bei za...
Back
Top Bottom