Recent content by Dr criminal

  1. Dr criminal

    Wanaume wenye sura "personal" ndio wenye wivu uliopitiliza

    It's fun jamii ilivyofanikiwa kutu-condition kui-ignore physical attraction ya mwanaume Jamii ilikuwa na lengo jema, la kwamba mwanaume atumie nguvu zake afanikiwe, mwonekano wake hautompeleka popote (japo kuna mazingira unaweza msaidia) na mwanamke atumie uzuri wake, na bila kuambiwa wanawake...
  2. Dr criminal

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wananguuu wamikekaaa Wanangu siburini league zirud hakuna mtu atalala njaa humu as long as ntakuwa hai💪
  3. Dr criminal

    Usipuuzie past ya mwanamke

    Bro b Bro been spitting this f**cking fucts since day one In black Americans voice😂
  4. Dr criminal

    Wanawake wengi wa Tanzania wanapenda kuolewa wakishakuwa wamechoka

    Mwanamke kwenye miaka 18 mpaka 24 hivi 25 mpaka 26 ananata kichizi SMS havijib Wakigongo hiyo 26, 27 vinaanza kujitongozesha, kanisani sana, nimeokoka nyingi😂 Na mbaya zaidi wanaitumia hiyo pick ya usichana wao na wajinga wajinga tu hawana future, watu ambao hata wakiwapa mimba wataishia kuwa...
  5. Dr criminal

    Rafiki angu kimeshamlamba uko

    Habari November 10 mwaka jana nilileta uzi hapa wakusikitishwa na aina ya mwanamke ambaye rafiki angu ameamua kumfanya kuwa mke wake na mama wa watoto wake (kama ukitaka kuu refer ukienda tu kwenye nyuzi zangu upo juu tu) Kwanza ifahamike simchukii rafiki angu wala aliyekuwa mke wa rafiki...
  6. Dr criminal

    Mwanamke anayejiuliza mara mbili kuolewa na wewe usijiulize mara mbili kumpiga chini

    Upo sahihi pale mwanzo chamoto utakiona kama ulimpenda kweli But hapa point ni peace in a long run, kwahy sikilizia mwez mpaka mwezi na nusu ndio maximum half life ya maumivu ya mapenzi kwa mwanaume ambae kichwa yake ipo sawa Baada ya hapo vuta mama nyingne maisha yaendeleee
  7. Dr criminal

    Mwanamke anayejiuliza mara mbili kuolewa na wewe usijiulize mara mbili kumpiga chini

    Role model wako ni jadda pinket?[emoji1787] (Joking) Huu uzi ni two way traffic hata mwanamke akisoma hapa ajue kwamba kama mwanaume hataki kumuoa ni heri amuache But why nimeandika kwa wanaume? Because msingi wa jamii nzima ni mwanaume, tukiwa na wanaume wapuuzi wapuuzi kwenye jamii basi...
  8. Dr criminal

    Mwanamke anayejiuliza mara mbili kuolewa na wewe usijiulize mara mbili kumpiga chini

    Awe na sababu za msingi Kwa mfano hajapata kaz permanent, anamalizia ujenzi, anamalizia elimu Unless otherwise ni nini hicho cha maana zaidi ya kutaka kumchezea mtoto wa watu?
Back
Top Bottom