It's fun jamii ilivyofanikiwa kutu-condition kui-ignore physical attraction ya mwanaume
Jamii ilikuwa na lengo jema, la kwamba mwanaume atumie nguvu zake afanikiwe, mwonekano wake hautompeleka popote (japo kuna mazingira unaweza msaidia) na mwanamke atumie uzuri wake, na bila kuambiwa wanawake...
Mwanamke kwenye miaka 18 mpaka 24 hivi 25 mpaka 26 ananata kichizi SMS havijib
Wakigongo hiyo 26, 27 vinaanza kujitongozesha, kanisani sana, nimeokoka nyingi😂
Na mbaya zaidi wanaitumia hiyo pick ya usichana wao na wajinga wajinga tu hawana future, watu ambao hata wakiwapa mimba wataishia kuwa...
Habari
November 10 mwaka jana nilileta uzi hapa wakusikitishwa na aina ya mwanamke ambaye rafiki angu ameamua kumfanya kuwa mke wake na mama wa watoto wake (kama ukitaka kuu refer ukienda tu kwenye nyuzi zangu upo juu tu)
Kwanza ifahamike simchukii rafiki angu wala aliyekuwa mke wa rafiki...
Upo sahihi pale mwanzo chamoto utakiona kama ulimpenda kweli
But hapa point ni peace in a long run, kwahy sikilizia mwez mpaka mwezi na nusu ndio maximum half life ya maumivu ya mapenzi kwa mwanaume ambae kichwa yake ipo sawa
Baada ya hapo vuta mama nyingne maisha yaendeleee
Role model wako ni jadda pinket?[emoji1787] (Joking)
Huu uzi ni two way traffic hata mwanamke akisoma hapa ajue kwamba kama mwanaume hataki kumuoa ni heri amuache
But why nimeandika kwa wanaume?
Because msingi wa jamii nzima ni mwanaume, tukiwa na wanaume wapuuzi wapuuzi kwenye jamii basi...
Awe na sababu za msingi
Kwa mfano hajapata kaz permanent, anamalizia ujenzi, anamalizia elimu
Unless otherwise ni nini hicho cha maana zaidi ya kutaka kumchezea mtoto wa watu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.